Wewe ni mjinga kabisa kwa hio unatakau uendelee kukus anya mahela? Wewe ni mpuuzi sana hujajua tunavyoteseka na kulipa ada sio ?huna huruma hata usipokuwepo hamna hasara
Rais yupi? Wewe huna adabu mtu wa wapi hujaona mazuri ya maghufuli?
Huyo kikwete wako aondoke hatutaki hata kusikia habari zake,na uache comment za kuuzi watanzania.
Wewe ni mpuuuzi kweli!!! Huna ubongo wa kufikiri kama binadamu wa kawaida nakupuuuza hakuna haja ya kumjibu mpuuuzi kama wewe, hovyooo, katishie vyura huko mtoni.
Silaa ni nani? Na anakuja kwa nani?mnamkuza sana, yeye ni nani? Akija au asipokuja kutaharibika kitu gani? Fanya kazi maneno yasiyo na maana achana nayo
ni sawa kabisa ndugu. hawa wanaojiita watawala watasababisha hata machafuko kwa kuingilia mambo ya kisheria.
ulinzi wa kura za upinzani tangu lini tukalindiwa na ccm? halima mdee, tundu lisu,godbless lema,john mnyika wote hawa kama sio wananchi wasingekuwa wabunge.naomba mungu ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.