Recent content by HarrisTech

  1. HarrisTech

    Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

    Fatilia historia ya tohara Ilianzia israel na nia yake ilikuwa ni kuwatofautisha wana wa israel na wa ulimwengu mzima ilikuwa ni mfano wa nduwi (ni agano kati ya wana wa israel na Mungu)
  2. HarrisTech

    Naomba ushauri: Nafanya biashara lakini sina amani ndani yangu. Natamani kwenda mbali lakini sijui naenda kuanzia wapi

    Mi naamini kila mtu mwenye ndoto kubwa kubwa, hupitia hio stage. Hio ni stage ya majaribu Maandiko yanasema kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe. Kwanza, ushinde moyo wako usikubali kuendeshwa na mapenzi ya moyo, maandiko yanasema (moyo hu mdanganyifu kuliko vitu vyote) Pili...
  3. HarrisTech

    Kuwa makini na hii scam

    Binafsi hii ilinitokea ingawa nilistuka mapema, wanakuunganisha uingie telegram channel, wanatuma task za ku subscribe youtube kila subscribe ni buku, ila kuna task ya ku invest hio mnatuma ela afu mnarudishiwa pesa mara mbili, bas hawa jamaa wame set bots za telegram kibao zinatuma screenshot...
  4. HarrisTech

    Moyo wangu unauma sana

    Umeumia polee kwa makosa uliyofanya, Pole kwa makosa yanayofata hakika utaumia mara 10 zaidi usipobadili mawazo. Mganga ni mwanadamu kumbuka anategemea mashetani, shetani hatoi kitu bure
  5. HarrisTech

    Special thread: Missing someone with special memories in your life

    Wanasema some stories end without goodbyes, Personally nmekua nasubir text ya mtu kwa miaka 5[emoji1] najua harudi ila ndo hivyo, but u never know mshkaj atarud siku
  6. HarrisTech

    Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

    Kosa namba moja ni kujiona una akili na kuwaita wengine vilaza bila kujua Mungu amepanga nini katika maisha yako Kuna andiko kwenye biblia linasema Mathayo 23 12 Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa. Ukiishi maisha ya kujikweza siku zote utavunjika moyo...
  7. HarrisTech

    Amezama kwenye lindi la mapenzi, nampigaje chini bila madhara?

    Ishi naye kibingwa Ondoa mawazo ya kwamba ana watoto n.k Muone kama binadamu wengine tu.
  8. HarrisTech

    Eti anadai hawezi kwa sababu mimi ni mama wa mwanaye!

    Mrembo kabla hujapata mtu makini inaoneka ulikuwa for the streets
  9. HarrisTech

    Ni wimbo gani wa gospel hukutia nguvu unapopita katika bonde la mauti

    Christina shusho: Ee Bwana umenichunguza Hua najikuta nahisi uwepo wa Mungu sana
Back
Top Bottom