Kwa hiyo Mathayo, myahudi aliyeishi wakati wa Yesu akiwa duniani, akawa mwanafunzi wake, aliyeaminiwa na Yesu kuwa mmoja wa mitume wake akatunga uongo kuhusu Yesu ili aje kuuawa kwa uongo huo?
Lakini mwarabu aliyeishi miaka 600 baada ya Yesu, aliyezaliwa uarabuni, eneo lililotawaliwa na...