Recent content by Harpazo

  1. H

    JamiiForums Tanzania Uongo Mwingine wa Mathayo uko hapa:

    Sasa wewe umeweka hoja gani? Yani kwa sababu hujaelewa kwa nini tukio fulani lilitokea basi unarukia kusema ni uongo?
  2. H

    JamiiForums Tanzania Uongo Mwingine wa Mathayo uko hapa:

    Kwa hiyo Mathayo, myahudi aliyeishi wakati wa Yesu akiwa duniani, akawa mwanafunzi wake, aliyeaminiwa na Yesu kuwa mmoja wa mitume wake akatunga uongo kuhusu Yesu ili aje kuuawa kwa uongo huo? Lakini mwarabu aliyeishi miaka 600 baada ya Yesu, aliyezaliwa uarabuni, eneo lililotawaliwa na...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu

    Wanaposema yeye ni Rais wa pili mwanamke Afrika ni kivipi mbona mimi nawakumbuka wawili waliokuwepo tayari JOYCE BANDA na ELLEN JOHNSON SIRLEAF?
  4. H

    JamiiForums Tanzania Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    Yuda na Israeli walishapigana, Yuda ilikuwa maeneo ya kusini katika milki ya kabila za Yuda na Benjamini, Israeli ilikuwa kaskazini maeneo ya makabila tisa, kabila moja la Walawi hawakuwa na urithi wa eneo, wengiwao walienda kusini. Samaria ulikuwa mji mkuu wa utawala wa kaskazini Yerusalem...
  5. H

    JamiiForums Tanzania PNA: Pongezi Makamu wa Rais Bal. Dr Mchimbi Kuusema Ukweli Kuhusu Ujinga Huu wa Watu Kugombana Kwasababu ya Vyama!. Watanzania Tuukatae Ujinga Huu!

    Mpaka kufikia ujasiri wa kuongea vile ni wazi kilichokuwa kikisemwa kuwa ni mvutano/vita ya ndani kwa ndani sasa imefikia hatua nyingine. Taratibu ufa utaanza kuwa dhahiri. Na amejitofautisha na boss wake kwa kusema mtazamo wake sio serikali ya fulani. Hiyo ni dalili ya kutafuta kuungwa mkono...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Je Tuutumie Mwezi Huu wa Toba, Kufanya Toba ya Kweli, Tukiri Makosa Yetu, Tujute Dhambi Zetu, Tuungame, Tusamehewe, Nchi Itakasike Au Tusubirie Tume?

    Mengi mazuri, Niweke machache; 1) Sarah alimzaa Isaka akiwa na miaka 90 sio 80 2) Ibrahim kuzaa na Hajiri haikuwa sawa machoni pa Mungu, Pamoja na kwamba Ibrahim alikuwa nabii lakini pale alikosea kwa sababu alimsikiliza mke wake sio Mungu, na baada ya hicho kitendo sura inayofuata Mungu...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Kama hakuna katika mafundisho haya yanatokana na Torati au Manabii, yametoka wapi?

    Katika Biblia masihi(messiah) maana yake ni “Aliyepakwa Mafuta” au aliyechaguliwa kwa kazi maalum. Na hapa hasa waliopakwa mafuta ilikuwa ni ili kutimiza majukumu ya Ufalme au Ukuhani au Kuwa nabii. Definitely kuitwa Masihi peke yake hakumaanishi huyo ni Mungu. Katika unabii wa Biblia, Masihi...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Tanganyika vs Tanzania

    Azania
  9. H

    JamiiForums Tanzania Fundisho la Upatanisho Halikufundishwa na Yesu Bali Lilibuniwa na Paulo

    WALAWI 4:20,21 (Agano la kale) 20 Ndivyo atakavyomfanyia huyo ng'ombe; kama alivyomfanyia huyo ng'ombe wa sadaka ya dhambi, atamfanyia na huyu vivyo; naye kuhani atawafanyia upatanisho, nao watasamehewa. 21 Kisha atamchukua huyo ng'ombe nje ya marago, na kumchoma moto vile vile kama alivyomchoma...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Hata Mathayo, yule aliyeibua hadithi ya "zombie kufufuka" amekosa hii simulizi

    Hivi kwa nini usijifunze angalau kwa Dawah guys jinsi ya kujenga hoja? Yesu mwenyewe alisema amwaminiye yeye anaweza kufanya makubwa kuliko aliyofanya yeye. Kufufua wafu hata miaka yetu wako watumishi waliowahi kufufua wafu, wewe ndo inakustua na unadhani hiyo ni sababu ya watu kumwita Yesu...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Yesu Hadi ana sulubiwa msalabani hakuwahi kujenga. Je Ina maana alikuwa anaishi wapi kabla hajaanza kazi ya ukombozi?

    Yohana 1:38-39 [38]Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi? [39]Akawaambia, Njoni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Pastor Tony Kapola , kuprove watu wrong, andaa siku ujaze mtungi mtupu wa gesi live mbele za watu

    Tatizo la watanzania wengi tukubali kwamba upeo wetu wa mambo na uelewa wetu generally speaking ni mdogo sana ingawaje tuna access ya Internet. Mimi nimetoa maoni yangu kwamba I know miujiza ipo na kulingana na experience yangu hilo sina shaka, na muujiza wa kujaza gesi unawezekana, suala la...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Pastor Tony Kapola , kuprove watu wrong, andaa siku ujaze mtungi mtupu wa gesi live mbele za watu

    Itoshe kusema we are living in two different worlds in the same planet in which everyone is entitled to their own opinion
  14. H

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu wa Kristo Unaporudia neno “wokovu” bila kuelewa, unakariri hadithi ya kubuni

    Sawa, maana imeandikwa "...kwao wanaopotea ni upuuzi" Kwa hiyo ni upuuzi lakini ni kwa wale wanaopotea. Nashukuru kwa kuelewa.
  15. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Pastor Tony Kapola , kuprove watu wrong, andaa siku ujaze mtungi mtupu wa gesi live mbele za watu

    Hahahahaha, muujiza ule unawezekana lakini wale mimi siwaamini hasa kwa trend ya maneno yao wanayoendelea kuongea.
Back
Top Bottom