Recent content by Harold Mputa

  1. Harold Mputa

    Mahakama ya Kadhi ipo mbioni kuanzishwa

    Madai yako eti "usawa ktk mgawanyo wa madaraka ni upuuzi mtupu" kwa taarifa yako tu hatumpi madaraka kwa dini yake bali tunatoa kwa uwezo wake ikiwemo Elimu ya kutosha!bahati mbaya sana ndugu zetu waislam wengi ndio wanasoma elimu dunia ss hivi wakati aliewaletea dini (ya kiislam) alikuwa ni...
  2. Harold Mputa

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Hawa jamaa kwa kweli wizi wao ni nje nje tena bila aibu!Mm.mwenyewe wameniibia vya kutosha!nimelalamika mpaka nimechoka,nilichofanya ni kuamia G smile na Airtel!Vodacom ni shiida..!wezi sana!
  3. Harold Mputa

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Airtel wana afadhari amieni huku, Tigo na vodacom kweli kabisa kuna shida kubwa....full wizi!
  4. Harold Mputa

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Ni kweli kazi ni kwako...! Kubaki au kuondoka! Mm ni mteja wao wa miaka mingi sana tangia vodacom inaingia nchini ila kwa sasa nimewahama hasa jwebye data receiving natumia sana mtandao wa tigo au Airtel ni nafuu na sio wezi km vodacom...vodacom ni wezu balaa! Wanakuibia mteja mchana...
  5. Harold Mputa

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mm nimeibiwa sana ila nimeshahama niko TIGO ss, hawa Voda ni wezi balaa...sijui kwa nn wanafanya hivi!
  6. Harold Mputa

    Hawa Vodacom wanaumwa!!

    Dawa ni kuwaacha na kutumia lines za kampuni nyingine, hawa jamaa ni wezi sana halafu wamewaibia watu kwa muda mrefu sana ss!
  7. Harold Mputa

    Viongozi kuwa na umasikini wa kifikra kama Waziri Muhongo ni hatari!!!

    Prof.Muhongo hayuko unavyomtaja! Ni kutaka kumchonganisha na watu, ni msomi na mkweli! Matatizo yetu sisi ni hao wana siasa wetu uchwara..! Kuwa na data kwanza kabla ya kuweka utumbo wako kwenye hii forum! Hatupendi watu vilaza km wewe unalitia aibu jukwaa..!
  8. Harold Mputa

    Kama binadamu wa kwanza alikuwa mweupe, watu weusi wametoka wapi?

    Wapi na ktk kitabu gani cha dini walisema Adam au Eva ni watu weupe au weusi..! Nipe sura na haya yake.
  9. Harold Mputa

    Vurugu za Kidini Zanaongezeka Tanzania

    Ukristo ni dini ya ukweli, ilisambazwa kwa amani na upendo tofauti na wenzetu waliosambaza dini yao kwa .......! Malizia mwenyewe najua wajua!
  10. Harold Mputa

    Nauza gari yangu

    Piga picha na tuma kwenye email yangu:harold.mputa@gmail.com
  11. Harold Mputa

    JK akosekana maadhimisho ya kimbari - Kigali, Rwanda

    JK hata km ingekuwa sio Karume day aende kufanya nn kwa mtu aliesababisha mauaji kwa raia zake mwenyewe kwa uroho wa madaraka? Huyu tolu ni mtu mbaya sana na hatari hafai! Nyamwasa yule adui yake #:1 anadai Kagame ndie alietoa order ndege iliyowabeba marais wa Rwanda na Burundi kutunguliwa...
  12. Harold Mputa

    Tathmini ya mapato ya kilimo cha michungwa 1000 baada ya miaka 3

    Mkuu nimekupata nitakutafuta nahitaji hiyo mbegu nina shamba kisarawe la hekari 10 nataka kupanda lote michungwa.Ila nadhani umekosea, mchungwa mmoja unazaa machungwa 4,000 au 400? Hapo tunaomba ufafanuzi kidogo.Namba yangu.0655 829840
  13. Harold Mputa

    Shigongo acha Udhalilishaji

    Ni kweli wana ujinga uliopitiliza! Yale mafumanizi yote uwa ni picha za kutengeneza tu, lakini magazeti yake hayatakuwa na uhai mrefu maana watu wengi ss wameshagundua huu UPUUZI anaofanya...!
Back
Top Bottom