Wewe umedanganyika kirahisi sana, haujaongezewa mshahara, isipokuwa umepunguziwa Kodi kidogo,(basic salary yako ipo vile vile) na madhara ya hiyo kitu ni kwamba, michango yako ya mifuko ya hifadhi ya jamii haijaongezeka hata mia moja, na kuongeza kodi ni swala la sekunde tu, lakini angeongeza...
Ni sahihi kabisa alikosea kumdanganya, lakini jiulize, Kama alimdanganya zamani, na amekuwa mwema kiasi Cha kufurahia maisha yake, kuondoka kunamsaidia kiasi gani ukilinganisha na kubaki?
Lakini pia jiulize, yeye akiondoka leo, (akiwa na watoto wake 3) ataolewa tena? Au ataishi pasipokuwa na...
Itakuwa ni kosa kubwa sana kufanya maamuzi ya kumuacha kwa sababu ya makosa ya zamani ya mume wake!
Anaweza kumuacha akaenda zake, lakini je, anaenda kuolewa tena, anaenda kubaki single maisha yake yote? Au anaenda kuanza maisha ya kutoka na waume wa watu pia?
Yeye tayari atakuwa na watoto 3...
Hahahaaa, wanapaswa kutwambia sasa kipya walichogundua, ili wote tufahamu kwamba kumbe yale waliyoyapigia kelele si muhimu tena, na sisi tutapima ugunduzi wao kama ni wenye manufaa kwa vizazi vya sasa na baadaye...
Alichoandika ni ukweli japo ametumia lugha kali sana!
Utakumbuka wasomi aliowataja hapo juu namna walivyokuwa mstari wa mbele kupigania mabadiliko ya kimfumo (katiba) walizunguka kila mahali kutuaminisha kuwa ili nchi ikae sawa sawa tunalazimika kubadili msingi wa uendeshaji nchi, leo hii wao...
Nimekuelewa japo sio sana, nitakuelewa zaidi ukinisaidia pia maswali haya...
Nilipopita pale tazara, (FLY OVER YETU) niliona bango limeandikwa "kwa ufadhili wa watu wa JAPAN" (najiuliza hapa tuwashukuru watu wa JAPAN au JPM?)
NASIKIA ubungo pia kutakuwa na bango kubwa lililoandikwa "KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.