Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 369
- 473
Utakuta ni kijana rijali shababi ana future nzuri ameweka misingi bora kwa ajili yake na familia yake lakini anakuja kukosea kwa kuoa mke wa mtu na kuishi na familia ya mwanaume mwingne
Maandiko matakatifu yanasema dhambi inayoweza kupelekea ndoa kuvunjika ni uzinzi tu na hii ni pale ambapo mke au Mme atatoka nje ya ndoa na kama mwanaume atamuacha mkewe ilihali mke hajafany zinaa basi mwanamke huyo akiolewa na Mwanaume mwingne ndoa hyo haitakuwa imepata kibali machoni pa bwana Bali itakuwa zinaa
Vijana ya nini kuchukua familia za watu tengeneza yako ya kwako peke yako achana na wanawake wenye watoto hao ni wake za watu
Maandiko matakatifu yanasema dhambi inayoweza kupelekea ndoa kuvunjika ni uzinzi tu na hii ni pale ambapo mke au Mme atatoka nje ya ndoa na kama mwanaume atamuacha mkewe ilihali mke hajafany zinaa basi mwanamke huyo akiolewa na Mwanaume mwingne ndoa hyo haitakuwa imepata kibali machoni pa bwana Bali itakuwa zinaa
Vijana ya nini kuchukua familia za watu tengeneza yako ya kwako peke yako achana na wanawake wenye watoto hao ni wake za watu