Mimi sijui hata nikushauri nini kwenye hili andiko lako. Kwa kifupi hili andiko umeandika as if biashara yako imekuwa fixed sana.
Maswali ya muhimu.
1. Kwani kwa eneo ulilopo kwa mwaka mzima huwezi kuuza mali yenye thamani zaidi ya hiyo 3.8? If yes, basi ongeza huo mtaji mara mbili au tatu...
Oa ili mkifunga biashara akipata boss mpya amshikeshike apige. Binti mwenyewe mzinzi tu huyo....kumgusa tu imo.
Oa uje ulie kwamba umegongewa na house boy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.