hii kauli niliwahi kumuambia mkaka mmoja lakini baadae nilijisikia vibaya sana...nilitamani nimuombe msamaha nilishindwa nianzie wapi...ila yule kaka alikuwa mstaarabu sana...nimesikia sasa hivi ameoa.
nadhani hiyo hali ikifika kila mtu anakuwa yuko tayari kwa kujiandaa nayo tatizo muda na mazingira...binafsi sina mtu ananitegemea kwa sasa lakini katika akili yangu hiko kitu kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.