Hata mimi sikua na hela sema sikua na majukum hivyo kipato changu chote kulikua kinawaza maendeleo ya familia...yeye alikua anapata sema majukum ya kwao nimengi
Ndio lkn kwasasa simshauri mtu afanye hivyo
2016 nilikutana na jamaa alikua anajitolea ofc flan analipwa tu kidogo mi nilikua na pharmacy yangu kubwa tu naishi
Nilikua nimepanga kiappartment kidogo yeye alikua chumba 1, kitanda fut 3 anakaa chini
Nikawa nae akipata hela namshaur nunua hiki hii...
Iko hivi nimekua katika ugomvi wa mda mrefu na mwenzangu( mume) bila kupata suruhu
Maumivu ni makali hasa dharau ndani mtu kuwa na wanawake hadharan Wala hajali hata ukilia unaoneka unampigia kelele tu. Nimeamua kurudi nyumban kwanza kupumzika.
Ninawiki sasa nataka nirudi kwangu ila nikapange...
Kisa cha kumuita binadam mwenzio mbuzi ninini?
Kwamba ilikua ndani ya uwezo wangu kuzuia mauti yake? Au kabla hajanioa ningekataa sababu nilijua angepatwa na mauti!! mkiwa wazima mnapumua hapa dunian msijisahau sana hakuna aombae matatizo
Nadhan watu mmeenielewa vibaya,binafsi sijashindwa kumsomesha ila ebu vita picha j3 shule zinafunguliaa leo umebeba wadogo zako kwenda kuwafanyia shopping ya madaftal sijui viatu alafu wanakuja navyo nyumban wanajalibishia mbele ya mtoto, ebu fikilia mtoto anajisikiaje je iyo picha ni nzuri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.