Jambo la msingi ni kuridhika na kutulia. Hata akikuruhusu kuoa mwingine, hutaweza kuwamaliza wote. Kila mwanamke ni mzuri kwa jinsi yake alivyoumbwa na kujaliwa na Mungu. Baki njia kuu.
Kwa watu tunaoshughulika na masuala ya mahusiano, tuna mashaka makubwa sana na uamuzi huu. Usalama wa madaktari wetu upoje? Je madaktari wetu watapata ushirikiano wa kutosha katika kufanikisha majukumu yao? Je, chama cha Madaktari Tz hakijiingizi katika mgogoro na chama cha Ke? Tusisahau kuwa...
Tuacheni ushabiki. Wazungu hao hawajatutukana, bali wanatuambia ukweli. je kuna kitu chochote walichosema ambacho si cha kweli hapo kuhusu Kikwete, Tz na Watz?
Watu waliokufa kwa kukosa matibabu hawakuwa wa dini moja, walikuwa kutoka dini zote hapa nchini. Watu waache kuangalia majanga ya kitaifa katika sura ya kidini. Bali katika sura ya utaifa.
Nampenda sana Mbunge kijana, machachari na mahiri, Zito Kabwe. Lakini katika wazo la kusema kuwa Tanzania ivunje uhusiano na mataifa yanayoishambulia Libya ambalo Kabwe amelitoa leo Bungeni, amekosea. Kwanza ni lazima afahamu kuwa Nato pamoja na marafiki zao ndio wanaowezesha bajeti ya tanzania...
Ninawapongeza wasomi wa Chuo Kikuu cha Dsm kwa mjadala wa leo juu ya Katiba mpya. Wamedhihirisha kuwa wao ni taasisi muhimu kwa mustakabli wa nchi hii. Ninatoa wito kwa taasisi nyingine zinazofanana nayo kufanya hivyo bila woga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.