Recent content by hanzagira

  1. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Internet yenye thamani nzuri kwa matumizi makubwa ya internet (100GB+ kwa mwezi)

    karibu zuku fiber kwa huduma yenye bei nafuu na yenye kasi nzuri kabisa.
  2. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Ni ujinga nchi kufikiria ina uwezo wa kukabiliana na COVID-19 kwa utaratibu wake wa ndani bila kujifunza kutoka kwa waliotangulia mapambano

    Ni kwelii asee kuna mchezaji wa juventus anaitwa dybala amepimwa mara nne na zote anaonyesha postive Sent using Jamii Forums mobile app
  3. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

    Hapana huko bado mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

    Kama bado waiihitaji tuwasiliane mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

    Tupo tunakuja lakini kwa sasa huduma ni uhakika kwa maeneo tajwa hapo. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Yeah wko pamoja mkuu
  7. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Nimekuelewa sna mkuu hata mimi nilimshsuri hivyo lkn shida iko ndugu wansema hawatkii kutambua ndoa na kama akikubali kuendelea nae basi akubali kwend mhakni kumu adopt mtto
  8. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Ni ule upendo ndani ya mwanae, na hata mtto alivyonamapenzi kwa babake mnw tyr ameshazoe muda ambao hurud kutoka mihangaikoni na kila asikiapo hodi hua mtto ndio anapenda kwenda mfungulia mlango.
  9. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Haswaa afu mtto kila wakti anakuita baba bila kujua lolote
  10. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Ni kweli mkuu akili ikitulia huenda atafanya hivyo na akubaliane na lolote litakalo kuja mbele yake, sababu naamin mwenye mtto wake atakuja mdai siku moja.
  11. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Yupo mwingine mkuu wa pili Ila wkwanza ndio mwenye shida.
  12. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Afrika kwa ujumla nafikiri
  13. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Ndio mkuu, hata mimi nimeshindwa kuelewa mana walianza akiwa mdgo sanaa lakin brother alikua akipingana nao.
  14. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Katika hili, wanawake mtuhurumie sisi wanaume

    Imetokea. Shemeji alivyo mcheshi, mpole na mchangamfu na mwenye kujali ni ngumu kuamini.. Ilikua kama utani baada ya kujifungua na mtoto kukua na kuanza kuonyesha tabia zake, ndipo wakubwa wakaya wakadai hyu mtoto mbona hafanani na tabia za koo zetu.?? Walihoji Ugomvi kati ya kaka na familia...
  15. hanzagira

    JamiiForums Tanzania Nauza vitu vya thamani vya ndani kwa bei ya 350,000 Tzs.

    Habari wana jamvi kama kichwa cha habari kinavyosomeka nauza vitu vifuatavyo jiko la gas mtungi mdogo, kitanda na godoro lake, zuria, feni, kikabati kidogo, stand ya viatu, rice cooker, stand ya nguo n.k karibuni..
Back
Top Bottom