Recent content by HANS K MFYOMI

  1. H

    Ujio wa Dr.Slaa Uyole- Mbeya; CHADEMA waomba michango kugharamia ujio wa Dr.Slaa

    Hio michango naomba tra waifuatilie, si vibaya kuchangisha lkn halmashauri inajua? Maana mtindo huo matapeli watatumia
  2. H

    Tanzania tumeingiliwa, kuna magaidi kutoka nje ya nchi

    Ktk mtanzania ambaye ni mzalendo ww mtoa mada upo correct. Maana manazagaa wageni nchi hii kama yao? Uhamiaji tz poor
  3. H

    Ushauri kwa Mh Lema mbunge

    Jembe atajirekebisha, ila dk slaa kila kukicha anaingilia mahakama dhidi ya lwakatare kupitia chama. Je chama kimeafiki?
  4. H

    Jamani, katika hili JK apongezwe!!

    dunia duara kama chungwa
  5. H

    Tukio la Mlipuko wa Bomu Arusha: Victor ndiye aliyembeba mlipuaji kama abiria wa boda boda

    Juzi tumeambiwa hana dini! ? Kwani polisi imetoa uthibitisho hadi tunadanganyana kuwa wamemwambia victor ndio gaidi?jf
  6. H

    Mahakama ya Rufaa yamrejeshea ubunge wa Igunga Dr. Dalali Peter Kafumu

    Haki ikitendeka upande wa ccm c haki lkn juzi juzi tu mh. Lema alishinda ni haki. Acheni unafiki huenda mna lenu c bure
  7. H

    CHADEMA haitalipa kisasi-Dr Slaa

    Hata mahakamani una anza na kiapo kua uyasemayo sahihi, lkn unadanganya. Tusubiri mahakama mkuu punguza shangwe
  8. H

    Swala la Lwakatare: sio Mwigulu peke yake Mbona Wasira, Nape hamuwajumuishi?

    Vicheko, nderemo, kejeli na vibweka. Hakuna uzalendo hakuna ustarabu. Acheni kupiga mayowe subiri mahakama itoe ukweli
  9. H

    Hongera sana Abbas Kandoro kwa uamuzi huu

    Kuna watu humu jf wana comment vitu kwa chuki na uchochezi tu, mheshimiwa ametoa kauli njema hata kidini inakubalika.
  10. H

    Ukiomba kura kanisani au msikitini ukiitwa mdini usilalamike, kaa kimya - Nchimbi

    Wameshindwa siasa wanafanya ugaidi. Harafu kwa kuleta unafiki humu jm balaa. Ona yule mwandishi wa vuta nikuvute riar
  11. H

    Kinana: Nachafuliwa kwa sababu ya wadhifa wangu

    Vuta ni nivute kumbe we mwandishi upo kwa manufaa ya chama fulani, huna cfa ni mshawishi tu. Nakuogopa kama ukoma
  12. H

    Kesi ya Lwakatare: Leo itajulikana ama ana kesi ya kujibu au kufutwa kesi

    Haki itendeke Tanzania tunataka amani na usalama, tusiogopane
  13. H

    Baada ya mahojiano: Makosa yaliyomnyima Lema dhamana ni haya, kwa mujibu wa Mwanasheria wake

    Binadamu ataendelea kuwa binadamu, uaminifu wa binadamu upo kwa mungu. Juzi tumefagilia mahakama zinatoa haki leo lawama
  14. H

    HI

    Mambo wakuu wa jf
Back
Top Bottom