- Thread starter
- #21
Makamanda ukweli utabaki kuwa ukweli Lema anaitaji kupewa ushauri anapokosea.mnakumbuka Nasary alishawahi kuambiwa ametoa maneno ya kitoto bungeni? sasa Lema tutasema ni maneno gani?sio kila aneye kosoa chadema ni magamba wengine ni viongozi wa hao hao chadema.mapenzi mema ndio yanawafanya kukosoa adharani.chukua hatua kamanda ili kukinusuru chama sio malumbano yasiyo na tija.Mungu ibariki Tanzania.