Kama tittle ilivyosema kuna used japan car inauzwa
Model: Mitsubishi Colt plus.
Colour: Dark blue
Condition: excellent condition
Full vibali:
road licence up to 23/04/2018
Bima up to 03/05/2018 (Comprehensive)
Ukipata ajali unalipwa gari nzima.
DDU (plate number)
Imetembea Km 141643.
Bei...
Hilo ndo haswaaaa... Sikuhizi asilimia kubwa ya watu hapa Tanzania wanawasikiliza baadhi ya wanasiasa na watu wanaojiita wanaharakati ambao baadhi yao kimsingi nadhani wanakuwa wapotoshaji kwa taifa kwa kukosa facts na pia cc tunaopokea hayo mambo pasipo kuchambua hilo swala moja kwa moja...
Safi sana mkuu, na kama anadhani si jibu sahihi basi aende kwenye katiba ya tanzania kama reference ambayo waziri husika alivyoeleza.
Pia naomba nitoe rai kama watu wanataka wanasiasa wakaguliwe vyeti basi inabidi kupelekwa mjadala bungeni na kuruhusu ukaguzi kwao kwa nafasi hizo zilizotajwa...
Ukizungumzia hiyo nadharia basi kagera sugar anapaswa kunyanganywa alama 3 katika michezoyote aliyecheza mohammed fakhi na si vinginevyo.
All in all kwa hili tff wamevurunda, tukirejea kwenye swala la simba kuhusu pointi 3 iwe simba amepeleka rufaa au la ilipaswa kagera anyang'anywe alama hizo...
Mi sidhani kama bunge litajadili kuhusiana na swala la mtu kufoji vyeti maana itahitaji ushahidi wa kina ili kudhibitisha hili. Pia tukumbuke kama yeye ni kweli alifanya hilo swala basi kuna haja ya kuwafanyia uchunguzi mpaka wale wengine waliobadi na kukili kwa sababu nao watakuwa wamefanya...
Shida siyo kukubali au kutokubali kuhusiana na swala. Issue iko hivi kama mshtakiwa hataki kutoa majibu sahihi ili kuweka mambo wazi ni kwann watu ambao wanaushaidi kuhusiana na swala hili wasijitokeze na kukitia kimbutua mchanga na watu wakajua?. Maana tukiendelea hivi mwisho wa siku naona...
Kama huyo mtuhumiwa hajakana mashitaka mpaka leo ni kwann hatua zingine zisitumike kama ambavyo nimependekeza ili kuumaliza huu utata na watanzania wote tukajua mbivu au mbichi juu ya hili swala.
Mkuu hebu rejea nyuma na kuangalia viongozi wote waliotuumiwa kwa kesi kama hivi walitoa ushahidi wao?, mm nadhani hili litaisha kama kwa wengine wa awali ambao waliandikwa kwenye kitabu cha "mafisadi wa elimu' au wengineo wa juzi juzi hapa
Baada kuona mjadala tena mrefu humu ndani leo na mimi naona nitoe uzi wangu ili tupate kujadili wote na ikiwezekana kila mmoja awe amepata jibu sahihi.
Hii ni kutokana na swala linaloendelea ambapo mimi siwezei kukubaliana nalo wala kulikataa ila naweza kulikubali endapo tu itakuja evidence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.