Recent content by Hamza Mdoe

  1. H

    Wap ni chimbo la TV bei nafuu Mwanza

    Naomba kujua chimbo la TV nzur ,smart ambazo bei NI nafuu
  2. H

    Unakubalije kuwa mwalimu?

    Daah Mzee Baba apa umenena hii Kada Kwa mwanamke Sawa lkn kama Una vision kubwa Hakka sio kaz hii hapa NI Sawa na kujiegeza ...mm NI tcha naelewa
  3. H

    Natengeneza tin certificate, cheti cha kuzaliwa, lessen ya biashara

    Kwa wale wenye uhitaji WA tin certificate, vyeti vya kuzaliwa na lessen za biashara nakutengenezea Kwa bei nafuu Sana ...nichek 0761808489 Kwa wasap au normal SMS... Huduma NI uhakika
  4. H

    Biashara ya kuku wa kienyeji mwanza

    Habar Wana jukwaa , Nina taka kuanza biashara ya kuuza kuku wa kienyeji Kwa sasa Nina mtaji WA kuku 40 wenye uzito kuanzia kilo moja Hadi mbili ... Npo bunda vijinini ... nahtaj niwe nawauzia Mwanza mjini lkn sina uzoefu na soko la huko Mwanza .... Kwa anaejua nianzie wapi au anipe au...
  5. H

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Naomba uje mkoa wa Mara wilaya ya Bunda Nije mkoa wa pwani au tanga idara ya ELIMU secondary karbu mawasiliano njoo PM
  6. H

    Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

    Mm niseme tu mshkur sana mungu kwa kla ktu mana huwez elewa nn mungu amekuepushia , pia kumbuka unalolipanga wewe sio ambangalo mungu so usijutie zaid toa shukran zako za dhati kwa mungu muumba na kuomba Zaid akuondoshee mawazo potosi Dunia ni kubwa inanafasi bado usifadhaike
  7. H

    Wekeza Milioni 7 upate Milioni 20 ndani ya miezi 6

    Oooky amani napapata vzur ngoja nkafanye utafit wa bei ya huko na bei ya soko . Thanks
  8. H

    Ungepewa milioni 12 uwekeze, ungefanya uwekezaji gani? Wafanyabishara waheshimiwe, ajira ni bora zaidi ya biashara

    Fungua biashara ya uwakala muhmu tafuta sehemu nzur yenye population mfano karibu na masoko ya biashara ndogo ndogo hao watu wanatuma pesa na kutoa pesa bwana ... Hakikisha una laini zote na uwakala wa benk ,nmb,crdb n.k kamisheni hukosi 3 millions kwa mwez ... 12 inatosha kabsa utarejesha hyo...
  9. H

    Wekeza Milioni 7 upate Milioni 20 ndani ya miezi 6

    Changamoto watu wengi hatujui namna ya kusafirisha plus gharama zake pia... Iliki ,karafuu bei ya chini hupatikana wapi kwa hapa tz kwetu na nchi gan hununua mazao haya kwa wingi ?
  10. H

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Bunda DC apa jamani nije Dodoma ,pwan ,Arusha , Kilimanjaro masomo English and literature in English 0654708118
Back
Top Bottom