Ushaambiwa gesi tumepigwa na haohao wanapinga stiglers ili waendelee kutuuzia gesi kwa bei ghali. Mbona umeshupaza shingo yako hutaki kugeuka uone upande wa pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni nani hasa na una threat gani kwa CCM hadi watumie pesa nyingi na mda wao mwingi kukuzima wew, hebu funguka vizur Mzee , maana kama watu wa chadema ni wengi mno, kwanini iwe ni wew, na ni mwanafunzi bado??
Picha zinaonesha gari ilkua imepak, maana yake kama wamepiga picha gar, bas na mhusika wa hiyo gar wanamjua, je wameshindwaje kumpata Mo kama Dereva aliyembeba wanamjua??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.