Habari mkuu, naweza naweza kutuma maombi kufundisha masomo ya Entrepreneurship kwa kozi ya Pharmacy?, Nna uzoefu wa kufundisha kozi za business na u-examination officer
Habari zenu, Msaada kwa mtu yeyote anaejua NGO's yoyote ambayo naweza nikajitolea hata bure niwe nafanya kama part time muda ambao nakuwa nipo tu sina cha kufanya ni bora kujitolea katika jamii kuliko kukaa bure tu na kupiga zogo.
Conditions zangu ni
1. Shirika liwe Dar es salaam
2. Niwe...
Kwa Dar es salaam maeneo yote ni potential especially kwa biashara hiyo ya unga wa chakula, sema tu ucheze na washindani wako bei msipishane sana wewe huwe chini Yao walau kwa shilingi 100 au 200 na pia huwe makini kwenye fremu utakayoipata usijikute unalipa kodi kubwa sana kwenye fremu ukatoka...
Habari zenu wakuu, samahani naomba kuuliza kwa Dar es salaam ni vyama gani vya Ushirika ambavyo vipo vizuri katika kuinuana kiuchumi?
Natanguliza shukrani
Mimi kijana/mpambanaji mwenzako na ni graduate pia nafanya biashara za kuuza slimming products (dawa za kupunguza vitambi, uzito na unene na nyenginezo) lakini sina ofisi nafanya delivery Kwa mteja ndo analipa. Kama upo willing unaweza kunicheki nikakupa maelekezo ya bidhaa hizo na picha za...
Epuka kula vyakula vyenye mafuta, sukari na vyakula vyote vya kusindikwa, vinywaji vyote kama vile Juisi za viwandani, Soda na Pombe za vimea(bia)...Pendelea kula vyakula vilivyopikwa kwa njia ya chukuchuku(kuchomwa au kuchemshwa)...kula matunda au juisi za matunda zisizo za viwandani, kunywa...
Hizo bati
28G
95cm upana wake
3 miter urefu
Hazipauki
Ni bati zimetoka Uturuki sio za Bongo kuna mtu amezileta zipo nyingi sana.
Bei yake ni elfu 48 tu
Kama ukiwa fresh njoo ukague mzigo 0689094097
0679094097
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.