mkuu naelewa sana unachokizumgumzia,nashukuru sana kwa ushauri wako!
mkuu back up plan ninayo na pia kuhusu huyo atakayenipa mkopo huo nataka niongee nae tuone ananipa kwa riba kiasi gani na kila baada ya muda gani au ananikopesha/kunipa pesa kwa misingi ipi na ipi! mkuu naelewa sana...
Mkuu samahani kama nitakukosea nitakavyojibu!! sikutaka kujibu zaidi lakin bado naona unanifanya naonekana muongo muongo hata kwa watu labda wenye nia na uwezo! dada angu kuna mambo nimekujibu vizuri tu
1. swala la kufanya kazi yoyote ile
kwenye tangazo langu nilisema hivo kwamba...
mkuu nimejirleza vizuri n na namba nikatoa ila still naonekana mi tapeli! ila tuachane na hayo nafikiri hii no challenge mojawapo hata kwa mkulima anapata challenge zake! so ni kwakuwa tuko field tofauti ila one day yes
mkuu PM hamna kitu cha ajabu zaidi ya namba tu ya simu labda na yule aliyeniuliza kama nasema uongo kuhusu kwamba sijamaliza chuo! nimemueleza vizuri PM na nikamwambia kuwa ni kweli sijamaliza chuo sababu ya kifedha so mimi kusema sina cheti ni kwamba nimeona tu nisiseme vile maana nilishaleta...
mkuu hata sielewi wapi naonekana mi muongo, kila kitu nimeelezea vizuri na nimemPM vizuri tu but still ananiona mimi muongo but anyway things will be okey
asante brother kwa kuliona hilo! ila kitu kimoja wanasema one of feature of being an interpreneur is ability to endure a lot of pain for a long period of time
nimekuPM maana kwa sababu mwanzoni nilisema kama kuna mtu mwenye nia ya kunisaidia basi ili apate uhakika zaidi kama atataka kuniuliza chochote zaidi aniPM
mkuu kumbe umenielewa vizuri, japo hata hiyo ya zege sijaikataa ila nimesema tu kwa kuwa hili tatizo ni la haraka ndo maana nikaomba hata kama bado mtu yupo mwenye nia na uwezo nahitaji msaada wake wa kunikopesha hicho kiasi! na nikasema atakayehitaji details zaidi kama tataka kunisaidia aniPM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.