siasa ni ya wote mtu asijidai kujiita ye mwanasiasa,basi kura wangepiga wenyewe,maaskofu na viongozi wa deni wote wanapiga kura na ndo wanasababisha siasa kuwepo hapo bila wapiga kura kungekuwa na siasa?waacheni waongee wanahaki kuzungumzia madaraka waliowapa watu,
mbona kwenye kupiga kura...
nimesikitishwa sana na vifo vya watanzania wenzetu iliosababishwa na watu wachache wanaoangalia maslahi yao wenyewe bila kuangalia mtanzania wa hali ya chini.
eeeeeeeeeeeee M/mungu sikia kilio cha watanzania wanyonge wananyong'wa kwa kutafuta haki yao.
viongozi tuliowapa madaraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.