Unapokubali upinzani alafu utaki kukosolewa maana Yake wewe ni dictator koz umekubal kuwalizisha wazungu moyoni mwako hakuko hivyo mpinzani kwa nchi za Africa anapewa jukum LA kupinga tu so kutawal anaonekana mi mkorofi tu MTU wa uchochez.wamejisahau kuwa wao ndy wanamfany mtawaliw kuwapinga kwa...
Ndugu sio watu hawana ushirikiano kumbuka kuna matabaka 3 mpka sasa yaliosanabishw na migogoro mbali mbali mpk Leo kumekuwa na tofauti kat ya polis na RAIA ukanda huu wote mpka maeneo ya mhoro .
1.kunasuala LA wafugaji na wakulima
2.polisi na wakulima
3.ugaid na polis
Ndy maana watu wamekuw...
Mh inaawezeka no muvi hii so unawajua bongo muvi nao .wanatuletea muvi mpya iitwayo MR.politician na imewashirikiasha wanasiasa wengi .Tafadhali basata msiifungie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.