Sifa kubwa ya kwanza ya kuwa chawa, ni lazima ukose akili hata ile ya kawaida.
Nakubaliana na mleta mada, kuwa uchawa ni ugonjwa, kiuhalisia ni kuwa UCHAWA NI UGONJWA MAHTUTI WA AKILI NA DHAMIRA. Watu kama Mwashambwa, Tlaatlah, Dr wa Manesi, Kavulana, and the like, ni wa kuwaonea huruma, hawa...