Recent content by Hamatan

  1. H

    JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Maelezo yako unasema mshambuliaji ameuawa, wakatikiambatanisho chako kinasema wawili wamejeruhiwa!!
  2. H

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Uwongo mtupu. Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuyaamini maneno yako. Heche na Lisu ni wamoja hasa, wala Heche haitamani nafasi ya Lisu. Mtu yeyote anaweza kukosea, anapogundua amekosea, akaomba msamaha, ni budi kusamehewa. CHADEMA wamsamehe Msigwa, aongeze nguvu.
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Metafrax Chemicals katika eneo la Perm nchini Urusi chashambuliwa na Drones za Ukraine!!

    Urusi baada ya kuishiwa mbinu, imebakia kuyatishia mataifa ya Ulaya na Ukraine kwa silaha za nuclear.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Metafrax Chemicals katika eneo la Perm nchini Urusi chashambuliwa na Drones za Ukraine!!

    Kadiri siku zinavyoenda, uwezo wa kivita wa Ukraine unazidi kuongezeka. Ukraine mpaka sasa imeangamiza viwanda zaidi ya 10 vya Urusi vya kusafisha mafuta. Uwezo wa Urusi kuzalisha mafuta umeshuka kwa karibia 40%, hali inayozidi kuyumbisha uchumi wa Urusi. Uchumi wa Urusi uliokuwa ukikua kwa7%...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Wakiombwa msamaha wakatoliki, indirectly, wameombwa msamaha wakristo wote. Wakristo wanaojiita siyo wakatoliki, ni sawa na mwafrika ambaye anaweza kuthubutu kutamka kuwa yeye siyo mwafrika kwa sababu tu amesema kuwa yeye anaishi huru, haamriwi chochote na baba wala mama yake. Kanisa...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Wewe uelewa wako kuhusiana na ukristo ni mdogo sana, hujafikia hata kiwango cha kubishana na watu wanaoujua ukristo. Wewe hangaika na huyo aliyewafanya ninyi kuwa marafiki wa shetani na majini. Aliyewaahidia mito ya pombe na wanawake. Hakuna mahali Biblia au mafundisho ya ukristo yanaposema...
  7. H

    JamiiForums Tanzania CCM wamekataa tamaa ya kushindana katika majukwa ya kisiasa na CHADEMA. Wanaona hawana tena cha kupoteza hivyo liwalo na liwe

    Kwa mtu ambaye hana akili kama wewe ni vigumu sana kujua nani mwenye uwezo wa kuongoza nchi kuelekea kwenye mabadiliko chanya. Ungekuwa na akili japo kidogo sana, ungejua kuwa watanzania wote elites wapo upande wa CHADEMA, japo wengi si kwa uwazi sana. Na kuna tafiti ziliwahi kufanyika siku za...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Russia sasa anazitageti hizi nchi Latvia na Swiden

    Pale ndipo uwezo wa Urusi ulipoishia. Uwezo pekee ilioubakiza Urusi ni kutumbia tu silaha za nuclear, lakini kwa silaha za kawaida, pale ndiyo mwisho. Ndiyo maana unaona mpaka imefikia kutafuta wapiganaji kutoka mataifa mengine, kuwatoa wafungwa magerezani na kuwafanya wapiganaji. Vita hivi...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Russia sasa anazitageti hizi nchi Latvia na Swiden

    Rissia inaizidi Ukraine kwa mbali sana kwenye nyanja mbalimbali, kuanzia uwingi wa watu, ukubwa wa kiuchumi, bajeti ya kijeshi, idadi ya askari, LAKINI Urusi imefeli sana kwenye vita yake na Ukraine. Ndiyo maana sasa hivi wataalam wa mambo ya kivita, wanasema kuwa uwezo wa kivita wa Urusi, kwa...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Kwa kweli mleta mada umebwabwaja, huna hoja ya msingi. 1. Hujaeleza kama hao waliofanya hilo tukio ni wakristo au ni watu ambao hawana dini yoyote. 2. Hujaeleza kama hao waliofanya hilo tukio, wamefanya hilo tukio kwa madai kuwa wanatekeleza matakwa ya ukristo. 4. Hujaeleza kama hao waliofanya...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Tunaviomba vyombo vyetu vya ulinzi vifatilie kauli za viongozi wa chadema zimejaa vimelea vya uchochezi tunaomba Sheria Kali zichukuliwe dhidi Yao.

    Punguani kama wewe lazima uwe na mwisho mbaya. Kwa ninyi wauaji, kila kauli inayoongelea haki, mnaita ni uchochezi!! Lakini haishangazi kwa ninyi wafuasi wa ibilisi kumchukia kila anayeongelea jambo jema, maana ninyi ni viumbe vya uovu.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kate, mke wa Ferdinand aonja Kaa la moto huko Instagram

    Hongera sana. Mwendo unatakiwa kuwa hivyo hivyo kwa kila mgeni, atakayealikwa na hawa wauaji. Ili kuongeza uelewa kwa jamii ya kimataifa, ya kile kilichofantwa na wauaji mwakajana, na utekaji wa watu unaoendelea.
  13. H

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Mtu ambaye una akili timamu, mwenye hekima, kamwe huwezi kupata mwaliko wa jambazi linaloua watu, nawe ukaitikia mwaliko. Si umeona nunge la Seneti la Marekani, wawekezaji wake walialikwa na hawa watu kabla ya mauaji, baada ya mauaji, sasa wanajadili pendekezo la kutaka kampuni yoyote ya...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Utakuwa ni mtu mpumb.avu kabisa, mtu aue watoto wako, aue wadogo zako, aue wazazi wako, halafu muuaji huyo huyo kesho aje na mtu anakuambia kuwa nimekuletea huyu mtu, atakuwa msaada kwa familia, halafu na wewe unaamini. Utakuwa huna akili kabisa kuliamini hilo. Hawa wauaji wa Watanzania, hawana...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Acha iropokaji. Mswada wa Senete ya Marekani umetamka wazi kuwa kampuni zote za Marekani au zenye uhusiamo na Maeekani zitatakiwa kuondoka Tanzania. Marekani haitaki kwa namna yoyote ile kushirikiana na wauaji wa Watanzania.
Back
Top Bottom