Recent content by Hamatan

  1. H

    Padri Dkt. Kitima: Sasa hivi Watanzania wanawekezewa kuwa wajinga. Kazi yetu kubwa viongozi ni kuwapumbaza wale tunaowaongoza

    Jiulize kwanza wewe mwenyewe, mpaka umekubali kuwa wakala wa shetani, unanufaika na nini?
  2. H

    Marekani imeshindwa vita lakini masharti yake ya kusitisha vita ni ya kuchekesha sana

    HIzi stories za uwongo wakati Wairan watu wanazidi kuangamia, sijui zinawasaidia nini!! Mara mseme Netanyahu ameuawa, wakati bado anaendelea kutoa amri, mara Israel imeangamizwa, huku Iran inaendelea kulalamika kuwa Israel inapiga miundombinu ya kiraia. Sasa nchi iliyoangamizwa inawezaje...
  3. H

    Marekani imeshindwa vita lakini masharti yake ya kusitisha vita ni ya kuchekesha sana

    Huo ulioandika ni uwongo wa kutisha!! Katika nchi ambazo kiongozi hawezi kusema uwongo kuhusu walipuliwa ni US na Israrl. Wao ikitokea tu askari au rai ameuliwa wanataja mpaka jina la marehemu. Kiongozi akidanganya ni kashfa kubwa sana. Anaweza kuwadanganya watu wa mataofa mengine lakini kamwe...
  4. H

    Galilaya kwa Sasa ndio mji Gani?

    Hapana. Bethlem ipo West Bank ya sasa.
  5. H

    Breaking news Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Inawezekana hufuatilii uhalisia. Israel haifichi vifo hata siku moja, tena wanataja mpaka majina ya waliokufa. Hata jana kuna mwanajeshi wao ameuawa Lebanon wamemtaja jina lake, umri wake, mpaka jina la baba yake. Kwa Israel, serikali kuwadanganya wananchi wake ni hatia kubwa sana, labda...
  6. H

    Israel inakaribia kuanguka

    Hakuna kiongozi wa jeshi la Israel aliyetamka kuwa jeshi la Israel linaelekea kuanguka. Jeshi linalokaribia inawezekana vipi liendelee kuongeza mashambulzi dhidi ya Iran? Marekani imesema kuwa inasimamisha mashambulio dhidi ya energy facilities, lakini Israel ikiwa pekee yame tayari imeanza...
  7. H

    Israel inakaribia kuanguka

    Iran: At least 1,900 people have been killed in attacks on Iran since February 28, the Iranian Red Crescent reported yesterday. On March 16, Iran’s foreign minister said “hundreds of Iranian civilians,” including more than 200 children, had been killed since the conflict began. Lebanon: At least...
  8. H

    Namuunga mkono Rais Samia kwa kumpongeza na kummiminia sifa Paroko kwa kuendesha Ibada ya kumuaga Lukuvi kwa Nidhamu. Padre Charles Kitima ajifunze

    Empty brain!! Yaani wewe na upunguani huu ulio nao, unajiona una uwezo wa kumfundisha Fr. Kitima!! Wewe ni hasara kwa familia yako maana unashindwa hata kuujua uwezo wa akili yako ulipoishia!!
  9. H

    Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    Loh! Huyu ni mgonjwa kwa kweli! Nani ana muda na hiyo takataka CHAUMMA!
  10. H

    Iran Imetoa Tahadhari Meli Yoyote Inayo Kwenda Israel Itaishambulia

    Kwani huwa zinaingia kwa kuruhusiwa? Ukiona matangazo mengi ujue hawana uwezo wa kuzuia, hivyo wanatumia vitisho. Wakiwa na uwezo hawawezi hata kutamka, wanashambulia moja kwa moja. Unaona jinsi Israel anavyofanya huko Iran? Hatoi kauli yoyote, anazidi kushambulia tu kimya kimya. Fikiria mpaka...
  11. H

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Kwa jina la Mungu aishiye, mwenye ukuu wote, kwa hekima yake, unaweza kutangulia wewe unayefurahia vifo vya binadamu wenzako, kabla ya Sativa ambaye Mungu kwa ukuu wake aliulinda uhai wake mbele ya wauaji.
  12. H

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    WE Wewe kweli mgonjwa wa akili!! Unakataa ushahidi wa mdomoni, unataka ushahidi wa wapi? Hasara kubwa kwa familia yako iliyodhani ina mtoto!!
  13. H

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Na wewe usikanushe kama huna ushahidi. Sativa kwa kauli yake alimtaja Mafwele kuwa ndiye aliyemhoja kabla ya kutembezwa usiku wote kwenda Arusha kisha Katavi na kisha kupigwa risasi kichwani, unataka ushahidi gani zaidi ya kauli ya mhanga. Kama ni wewe uliyemteka, na siyo Mafwele, jitokeze na...
  14. H

    Eti "Nimevipiga vita vilivyo vizuri". William Lukuvi kapigana vita gani Vizuri? Nisaidieni

    Haya ni maneno tu ya kupeana faraja kipindi cha majonzi, lakini ni maneno yanayotumika vibaya kimantiki. Ikumbukwe: Maneno hayo yalitamkwa na mtume Paulo kule Roma takribani miaka 34 tangu Yesu kupaa mbinguni, miaka 3 tangu kuuawa mtume Petro. Paulo akiwa amehukumiwa kuuawa kwa sababu ya...
  15. H

    Ninasikitishwa na kuumizwa sana ninapoona Sativa akitukana na kudhalilisha Viongozi wetu

    Haya yanayokutokea bwana Lucas ujue huenda ni matatizo makubwa uliyo nayo, ambayo huyatambui. Yawezekana ni kweli Sativa anatukana au anakosa staha katika maneno yake, lakini ungekuwa mzima kabisa, kutokana na yale aliyoyapitia, wala usingemlaumu. Fikiria mtu ametekwa, akapigwa risasi...
Back
Top Bottom