Nchi hii kwa sasa inahitaji sana utawala utakaojali na kuthamini sana uhai wa binadamu, maana hali ilivyo kwa sasa, baada ya kywapata watawala wauaji, ni kuwa uhai wa mwanadamu, umekuwa hauna thamani. Hali hii ikiachwa iendelee kama ilivyo, huko mbeleni nchi hii itakuja kutambulika rami Duniani...
Ndiye aliyeanzisha utekaji na mauaji. Ndiye maana baada ya kumpachika nyumba ndogo yake madarakani, amehakikisha mauaji makubwa yanafanyika dhidi ya watanganyika. Uovu wote wa yule bibi yeye ndiye muamuzi na muelekezaji mkuu wa huo uovu wote.
Huyu alitaka aendelee kuwa Rais kupitia njia ya...
Haikuwahi kufikiriwa hata siku moja nchi ingekuja kuwa chini laana ya watawala mashetani na wauaji wa kiwango hiki, watu ambao kwao kuteka na kuua ndiyo njia ya kubakia madarakani.
Baba Mungu wetu, tunaomba utuokoe tuondokane na jehanamu ya watawala waonevu, watesaji na wauji.
Hiyo habari ya kusema kuna vitabu vilifichwa ni uwongo mkubwa.
Kama unafahamu historia ya uundwaji wa Biblia, kamwe huwezi kuuliza hili swali lako.
Unafahamu muundo wa Biblia ulivyopatikana, au hujui kabisa? Biblia ni moja tu.
Kama hujui kabisan omba tukufahamishe.
Ujio wa Masiha Kristo, ni sawa na kifo: hakuna ajuaye siku wala saa, bali tumepewa ishara ya mambo yanayotakiwa kutokea kabla ya ujio wake ili waliojaliwa hekima yake wapate kujua.
Hata Uingereza, maaskofu na mapadre wengi wa Kanisa la Angikana wamebadilika na kuwa wakatoliki:
Total Converts: Around 700 former clergy and religious from the Church of England, the Church in Wales, and the Scottish Episcopal Church have been received into the Catholic Church. [1]...
Hakuna gaidi wa Iran anayeweza kuthubutu kuanzisha vita dhidi ya Israel maana wanajua madhara yake. Ni aheri ushambulie manowari za Marekani kuliko kuigusa Israel.
Israel inapendwa na raia wa Iran kwa sababu Israel huwa inawamaliza watawala gaidi, haitaki kuwaua raia, labda itokee bahati mbaya.
Hao kuuana ni sehemu ya imani yao. Muumini anaambiwa akimwua mtu fulani anazawadiwa malaya 70 na mito ya pombe! Ndiyo maana utawala wa Ayatolla unaongoza kwa kuua raia wa Iran. Ili akajipatie malaya na mito ya pombe huko ahera!
Wewe mwendawazimu ibilisi shetani, kwa jina Mungu wa haki, Lisu atashuhudia kifo chako, na ndipo ninyi mnaowategemea mashetani wauaji mtakapojua kuwa Mungu wetu, ni Mungu wa haki.
Kwa mapenzi na hekima ya Mungu, wewe utatangulia kabla ya Lisu, ndipo ndugu zako watakapotambua kuwa Mungu ni mkuu kuliko watekaji na wauaji mnaowategemea.
Hiyo ina maana Samia kwenda kumwona Lisu hospitalini ilikuwa ni hadaa iliyobeba dhamira ya uovu. Hakuwa na upendo wa kweli, ni sawa na hadaa iliyoifanywa katika kutangaza 4R. 4R ikaishia kuua maelfu ya Watanganyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.