Recent content by Hamatan

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kiti cha plastiki chakatisha maisha ya Kijana Steven Mbomambuzi, Moshi

    Nchi hii kwa sasa inahitaji sana utawala utakaojali na kuthamini sana uhai wa binadamu, maana hali ilivyo kwa sasa, baada ya kywapata watawala wauaji, ni kuwa uhai wa mwanadamu, umekuwa hauna thamani. Hali hii ikiachwa iendelee kama ilivyo, huko mbeleni nchi hii itakuja kutambulika rami Duniani...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kua kipenzi cha watanzania mpaka kuonekana adui yao

    Ndiye aliyeanzisha utekaji na mauaji. Ndiye maana baada ya kumpachika nyumba ndogo yake madarakani, amehakikisha mauaji makubwa yanafanyika dhidi ya watanganyika. Uovu wote wa yule bibi yeye ndiye muamuzi na muelekezaji mkuu wa huo uovu wote. Huyu alitaka aendelee kuwa Rais kupitia njia ya...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Mama Samia jitathmini unaoenekana haupo sawa kabisa. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako?

    Haikuwahi kufikiriwa hata siku moja nchi ingekuja kuwa chini laana ya watawala mashetani na wauaji wa kiwango hiki, watu ambao kwao kuteka na kuua ndiyo njia ya kubakia madarakani. Baba Mungu wetu, tunaomba utuokoe tuondokane na jehanamu ya watawala waonevu, watesaji na wauji.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Biblia ya kweli ni ipi? Injili ya Wagnostiki ina nafasi gani kwenye Ukristo?

    Hiyo habari ya kusema kuna vitabu vilifichwa ni uwongo mkubwa. Kama unafahamu historia ya uundwaji wa Biblia, kamwe huwezi kuuliza hili swali lako. Unafahamu muundo wa Biblia ulivyopatikana, au hujui kabisa? Biblia ni moja tu. Kama hujui kabisan omba tukufahamishe.
  5. H

    JamiiForums Tanzania Yesu Kristo atarudi lini ?

    Ujio wa Masiha Kristo, ni sawa na kifo: hakuna ajuaye siku wala saa, bali tumepewa ishara ya mambo yanayotakiwa kutokea kabla ya ujio wake ili waliojaliwa hekima yake wapate kujua.
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Hata Uingereza, maaskofu na mapadre wengi wa Kanisa la Angikana wamebadilika na kuwa wakatoliki: Total Converts: Around 700 former clergy and religious from the Church of England, the Church in Wales, and the Scottish Episcopal Church have been received into the Catholic Church. [1]...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu azidi kuitambia Iran akiwa juu ya mlima wa Hermon nchini Syria

    Hakuna gaidi wa Iran anayeweza kuthubutu kuanzisha vita dhidi ya Israel maana wanajua madhara yake. Ni aheri ushambulie manowari za Marekani kuliko kuigusa Israel. Israel inapendwa na raia wa Iran kwa sababu Israel huwa inawamaliza watawala gaidi, haitaki kuwaua raia, labda itokee bahati mbaya.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Mussa Ismail Bad anayehusanishwa na Emmanuel Nchimbi atekwa

    Tz kwa sasa ni mahali hatari kuliko sehemu yoyote Duniani.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Wafuga Midevu na Majini wanapiga a wao kwa wao huko Yemen 🇾🇪

    Hao kuuana ni sehemu ya imani yao. Muumini anaambiwa akimwua mtu fulani anazawadiwa malaya 70 na mito ya pombe! Ndiyo maana utawala wa Ayatolla unaongoza kwa kuua raia wa Iran. Ili akajipatie malaya na mito ya pombe huko ahera!
  10. H

    JamiiForums Tanzania Nimetenga 3m inisaidie kujiunga na jeshi la polisi Tanzania

    Ni sawa na mtu aseme ametenga pesa ili apate nafasi ya kuwa jambazi kwenye kundi linalosifika kwa ujambazi.
  11. H

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Yoda ni wakala mwendawazimu wa ibilisi shetani. Wala usitarajie kusikia lolote lenye hekima kutoka kwa huyo ibilisi.
  12. H

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Jisikitimie kwa kuwa kichaa mwendawazimu, makao ya ibilisi shetani.
  13. H

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Wewe mwendawazimu ibilisi shetani, kwa jina Mungu wa haki, Lisu atashuhudia kifo chako, na ndipo ninyi mnaowategemea mashetani wauaji mtakapojua kuwa Mungu wetu, ni Mungu wa haki.
  14. H

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Kwa mapenzi na hekima ya Mungu, wewe utatangulia kabla ya Lisu, ndipo ndugu zako watakapotambua kuwa Mungu ni mkuu kuliko watekaji na wauaji mnaowategemea.
  15. H

    JamiiForums Tanzania Yaani Samia aliyeenda kumwona Lissu hosptali, hamtaki aende mahakamani kumtetea Lissu hasinyongwe kweli?

    Hiyo ina maana Samia kwenda kumwona Lisu hospitalini ilikuwa ni hadaa iliyobeba dhamira ya uovu. Hakuwa na upendo wa kweli, ni sawa na hadaa iliyoifanywa katika kutangaza 4R. 4R ikaishia kuua maelfu ya Watanganyika.
Back
Top Bottom