Serikali ya Yemen au Lebanon, haziwezi kuisaidia Iran kwa sababu Iran ndiyo iliyoanzisha makundi hayo ya kigaidi: Hezbollah na Houthis ili yaziondoe serikali za wasuni. Nchini Lebanon, kindi la kigaidi la Hezbollah lilimwua kiongozi mkuu wa Setikali Waziri Mkui Rafiq Hariri. Nchini Yemen, kundi...
Kwa kweli, kila anapoongea anazidi kudhihirisha mapungufu yake! Watu wanatekwa na kuuawa, halafu yeye anasema nchi ina misingi ya haki!! Kweli ni mzima huyu?
Ninyi watu wajinga wajinga, msiwe mnapenda kuropoka mambo msio na ufahamu nayo.
Lisu alisema kuwa kama hakuna marekebisho ya sheria, hakuna uchaguzi. Na akasema kuwa kama hawatafanya marekebisho, CHADEMA haitashiriki, badala yake watu waandamane kupinga huo uchaguzi bandia. Lisu mwenye akasema...
Kuna watu wamejaliwa hekima kubwa na Mungu. Mwalimu Nyerere hakutaka mzee wa Msoga awe Rais, sijui aliona nini kwake. Bila ya Msoga, kamwe huyu bibi asingekuwa Rais, na haya maovu yote yaliyolipata taifa, kamwe yasingetokea.
Mwendawazimu naku-ignore. Sina muda wa kushughulika na watu punguani wa kiwango chako.
O only argue with sensible people, not brain crippled creature of the level of mb on.
Nina hakika, Samia pamoja na mapungufu yake, kama angebahatika kuwapata washauri wazuri asingeifikisha nchi katika laana hii ya sasa. Ukichanganya mapungufu yake binafsi, kutokujiamini kwake na hivyo kila mara kuwategemea washauri waovu, matokeo yake ni hii laana ya damu iliyotanda katika taifa...
Huyo ni kundi Msoga, uovu umewaondolea akilina hekima.
Mbona haongelei utekaji na mauaji ya wakosoa serikali? Ai watekaji na wauaji huwa wanateka na kuua kwa kufuata sheria? Ni sheria gani inaruhusu polisi na Tiss kuteka, kufira na kuua watu? Tuna mizee isiyo na faida nchi hii!! Inaongelea...
Ninyi wendawazimu mashetani ndiyo mnatakiwa kuwaomba msamaha watanganyika, akiwemo mzalendo wa kweli Tundu Lisu. Lisu hastahili kumwomba msamaha yeyote bali anastahili kila aina ya sifa na pongezi kwa ushujaa na upendo wake wa kweli kwa Taifa lake. Ninyi mashetani mliojipachika madarakani kwa...
Kama angekuwa amependelewa sana, alitakiwa labda aishie kuwa DC. Kwenye urais amebebeshwa mzigo mkubwa mno, unaozidi uwezo wake. Mwisho wake ameleta majuto kwa taifa, lakini hata yeye ataishia kujuta. Kuna watu waliraka ake hapo ili wafanye uovu wao bila ya kubughudhiwa na kiongpzi wa nchi.
Hama haraka. Unakuwepo kwenye Kanisa kwa sababu unaamini mafundisho ya Kanisa hilo. Mkatoliki, kila siku anafanya kiapo, kinachoitwa Kredo au Nasadiki:
l. Unasadiki kwa Mungu Mmoja
2. Unasadiki kwa Mwanae wa Pekee Yesu Kristo, Mungu aliyetoka kwa Mungu.
3. Unasadiki kwa Yesu Kristo ALIYEJIFANYA...
Siyo hayo tu.
Taarifa za ndani ni kuwa asipomwachia ndani ya siku 30, Jumuia ya Madola itaihimiza ICC kutoa arrest warrant dhid ya wauaji wote wa Oct 29..
Mtakatifu Yohane wa Damasko katika karne ya 7 na 8) aliandika tafsiri na makala zilizomweleza Mtume Muhammad kama mtangulizi wa mpinga Kristo kwa sababu ya kukataa Uungu wa Yesu Kristo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.