Recent content by Hamatan

  1. H

    JamiiForums Tanzania Yemen nayo yawasaidia Israel na US dhidi ya Iran

    Serikali ya Yemen au Lebanon, haziwezi kuisaidia Iran kwa sababu Iran ndiyo iliyoanzisha makundi hayo ya kigaidi: Hezbollah na Houthis ili yaziondoe serikali za wasuni. Nchini Lebanon, kindi la kigaidi la Hezbollah lilimwua kiongozi mkuu wa Setikali Waziri Mkui Rafiq Hariri. Nchini Yemen, kundi...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waendelee kusema hakuna haki, tunavunja haki, lakini hakuna aliye juu ya sheria

    Kwa kweli, kila anapoongea anazidi kudhihirisha mapungufu yake! Watu wanatekwa na kuuawa, halafu yeye anasema nchi ina misingi ya haki!! Kweli ni mzima huyu?
  3. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waendelee kusema hakuna haki, tunavunja haki, lakini hakuna aliye juu ya sheria

    Ninyi watu wajinga wajinga, msiwe mnapenda kuropoka mambo msio na ufahamu nayo. Lisu alisema kuwa kama hakuna marekebisho ya sheria, hakuna uchaguzi. Na akasema kuwa kama hawatafanya marekebisho, CHADEMA haitashiriki, badala yake watu waandamane kupinga huo uchaguzi bandia. Lisu mwenye akasema...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Dunia inashangaa ukatili wa serikali ya Tanzania

    Kuna watu wamejaliwa hekima kubwa na Mungu. Mwalimu Nyerere hakutaka mzee wa Msoga awe Rais, sijui aliona nini kwake. Bila ya Msoga, kamwe huyu bibi asingekuwa Rais, na haya maovu yote yaliyolipata taifa, kamwe yasingetokea.
  5. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Mwendawazimu naku-ignore. Sina muda wa kushughulika na watu punguani wa kiwango chako. O only argue with sensible people, not brain crippled creature of the level of mb on.
  6. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Mtu mwenye uwendawazimu kama wewe, unapata wapi ujasiri wa kujadili mada zinazohitaji akili?
  7. H

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nataka nizungumzie matumizi ya jina Samia, limekuwa linajirudia rudia haipendezi

    Nina hakika, Samia pamoja na mapungufu yake, kama angebahatika kuwapata washauri wazuri asingeifikisha nchi katika laana hii ya sasa. Ukichanganya mapungufu yake binafsi, kutokujiamini kwake na hivyo kila mara kuwategemea washauri waovu, matokeo yake ni hii laana ya damu iliyotanda katika taifa...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Huyo ni kundi Msoga, uovu umewaondolea akilina hekima. Mbona haongelei utekaji na mauaji ya wakosoa serikali? Ai watekaji na wauaji huwa wanateka na kuua kwa kufuata sheria? Ni sheria gani inaruhusu polisi na Tiss kuteka, kufira na kuua watu? Tuna mizee isiyo na faida nchi hii!! Inaongelea...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Ninyi wendawazimu mashetani ndiyo mnatakiwa kuwaomba msamaha watanganyika, akiwemo mzalendo wa kweli Tundu Lisu. Lisu hastahili kumwomba msamaha yeyote bali anastahili kila aina ya sifa na pongezi kwa ushujaa na upendo wake wa kweli kwa Taifa lake. Ninyi mashetani mliojipachika madarakani kwa...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Lazima uwe mwendawazimu wa kiwango cha pekee kuamini kuwa Lisu ni criminal. Angekuwa criminal si angekuwa ametiwa hatiani?
  11. H

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Kama angekuwa amependelewa sana, alitakiwa labda aishie kuwa DC. Kwenye urais amebebeshwa mzigo mkubwa mno, unaozidi uwezo wake. Mwisho wake ameleta majuto kwa taifa, lakini hata yeye ataishia kujuta. Kuna watu waliraka ake hapo ili wafanye uovu wao bila ya kubughudhiwa na kiongpzi wa nchi.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Yesu kristo sio MUNGU na alithibitisha yeye mwenyewe kuwa sio MUNGU lakini Afrika na Italia zimeng'ang'ania uongo.

    Hama haraka. Unakuwepo kwenye Kanisa kwa sababu unaamini mafundisho ya Kanisa hilo. Mkatoliki, kila siku anafanya kiapo, kinachoitwa Kredo au Nasadiki: l. Unasadiki kwa Mungu Mmoja 2. Unasadiki kwa Mwanae wa Pekee Yesu Kristo, Mungu aliyetoka kwa Mungu. 3. Unasadiki kwa Yesu Kristo ALIYEJIFANYA...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Heche anatuhuma nzito, alipewa dola laki mbili na mfanyabiashara Nilesh

    Huyo jambazi usimwite Shekhe, kama unapenda kutumia hilo neno shekhe, basi anza kwa kumwita kwa sifa yake kamili, sema: GAIDI TAPELI Shekhe Mwaipopo.
  14. H

    JamiiForums Tanzania Ultimatum ya siku 30 ndio mtihani mkubwa kwa Samia.

    Siyo hayo tu. Taarifa za ndani ni kuwa asipomwachia ndani ya siku 30, Jumuia ya Madola itaihimiza ICC kutoa arrest warrant dhid ya wauaji wote wa Oct 29..
  15. H

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Yesu kristo sio MUNGU na alithibitisha yeye mwenyewe kuwa sio MUNGU lakini Afrika na Italia zimeng'ang'ania uongo.

    Mtakatifu Yohane wa Damasko katika karne ya 7 na 8) aliandika tafsiri na makala zilizomweleza Mtume Muhammad kama mtangulizi wa mpinga Kristo kwa sababu ya kukataa Uungu wa Yesu Kristo.
Back
Top Bottom