Recent content by Hamatan

  1. H

    JamiiForums Tanzania Wazungu wakiendelea kukaza hivi hivi hadi mwisho inaweza kutuchukua muda gani kuingia katika total economic crisis?

    Mbona unaota ndoto za mchana? Ni lini wazungu walikaza dhidi ya Tanzania? Nchi pekee za Afrika ambazo zimewahi kupata kibano cha kiuchumi kutokana na ukiukaji wa haki na demokrasia ni Liberia, Sierra Leone na Zimbabwe. Kibano kwenye nchi hizo kilihusisha kuzuia nchi zote kununua madini kutoka...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    Wenzetu kila siku wanahangaika kuwekeza katika kushughulika kutatua matatizo ya mwanafamu, sisi tunawekeza katika uwezo wa kuteka, kutengeneza chaguzi bandia, kuua na kubambikia kesi za uhaini na ugaidi wanaokosoa uovu wetu. Kwa aina hii ya kwetu, sisi tutabakia kuwa watumiaji wa jitihada za...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Hakuna mwenye akili timamu na moyo wa upendo na uzalendo wa kweli kwa Taifa, anayeweza kuiunga mkono CCM. Chama chenye Serikali inayoua, inayoteka, inayoharibu mifumo ya demokrasia, mifumo ya haki na uhuru, unatarajia mwenye akili timamu akiunge mkono chama cha namna hiyo? Hicho chama kwa sasa...
  4. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 KATAVI: Kiongozi wa CHAUMA avaa nguo za CHADEMA na kuanza kumshambulia Heche mbele ya waandishi wa habari

    Hivi vyama pandikizi vya CCM vimejaza watu wasio na akili timamu. Sasa huyu punguani aliamini kuwa akivaa tu nguo ya CHADEMA, watu hawatamtambua!!
  5. H

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Watu wanauliza mambo yasiyo na maana. Kitu wasichokijua wajinga wa neno la Mungu, ni kuwa Yesu pekee hakuwahi kunena kuwa ni Mungu. Yesu katika mwili, alifanywa kuwa mwanadamu, ndiyo maana wanadamu waliweza kumwona, kumshika, kumtesa na kumwua, sawa na anavyoweza kufanyiwa mwanadamu. Lakini Yesu...
  6. H

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Quran imeokoteza mafungu mengi toka kwenye biblia, halafu watu wakahadaiwa kuwa eti imeshushwa na Mungu.
  7. H

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Maswali yasiyo na maana kabisa. Huu ndiyo uthibitisho wa neno la Mungu kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mafundisho mengi ya dini ya kiislam yamejaa uwongo mwingi wa wazi: 1. Wanawadanganya watu eti quran ilishushwa na Mungu wakati iliandikwa na wanadamu. Mpaka Mohamad anakufa...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Rostam kujenga LPG terminal Mombasa ni udhihirisho kazi ya wahindi ni kuvuna utajiri Tz na kwenda kuwekeza nchi nyingine

    Tostamni muanemi kutoka kijiji cha Chah Goda nchini Iran.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa". Kristo alijifanya mtu ili awafundishe wanadamu namna ya kuenenda kwa kadiri ya mapenzi ya Mungu. Hivyo kuwa mkristo na kiyaiga maisha ya Kristo akiwa amejifanya mwanadamu. Sasa, Kristo aliwaponya wagonjwa, aliwaponya viwete, vipofu, viziwi; alifufua...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini "maridhiano" yanaitaja sana CHADEMA?

    Kwani umewahi kuisikia CHADEMA ikisema inataka maridhiano na wauaji wa Oct 29? Kwanza kufanya maridhiano huku wakiiweka pembeni CHADEMA, litakuwa jambo la heri. Kufanya maridhiano na wauaji ni kujitia unajisi, ni kubariki ushetani wa Oct 29. CHADEMA isimame na wananchi wanaoendelea kuomboleza...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Uchawa ni ugonjwa wa akili? Wataalamu wa afya tusaidieni

    Sifa kubwa ya kwanza ya kuwa chawa, ni lazima ukose akili hata ile ya kawaida. Nakubaliana na mleta mada, kuwa uchawa ni ugonjwa, kiuhalisia ni kuwa UCHAWA NI UGONJWA MAHTUTI WA AKILI NA DHAMIRA. Watu kama Mwashambwa, Tlaatlah, Dr wa Manesi, Kavulana, and the like, ni wa kuwaonea huruma, hawa...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Serikali haiwezi kumsingizia msomi wa chuo kikuu kwa ugaidi

    Sote tunajua vitendo vya Mwaipopo, vinamfanya kudhihirika wazi kuwa ni kiumbe wa shetani. Inakuwaje shetani huyu kuitwa shekhe: Mwaipopo = Shetani Mwaipopo = Shekhe Therefore, Shekhe = shetani?
  13. H

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    CCM siyo chama cha siasa, ni kundi la kigaidi. Kundi la wauaji na wevi wa rasilimali za nchi. Hakuna anayetaka mbadala wa wauaji. Watanzania wanataka waongozwe na chama cha siasa, chama kitakachoheshimu na kulinda uhai wao, haki na uhuru wao. CCM ilikwishageuka kuwa genge la maharamia wauaji...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Unafikiri nani ana afadhali kupewa nafasi ya kuongoza CCM Tiketi ya urais 2030 kati ya hawa? Piga kura

    CCM imedhihirisha kuwa ni chama ambacho hakifai hata kuwepo maana kimegeuka na kuwa adui wa Watanzania. CCM imegeuka kuwa chama cha kuwateka na kuwaua watanzania, chama kilichoongoza mauaji ya halaiki 2025, chama kinachoendesha mambo yake kwa kuegemea ufisadi wa hali ya juu, ufisadi unaoua...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Nyerere alishauriana na nani kuunganisha Tanganyika na Zanzibar?

    LIlikuwa ni takwa la Marekani. Lengo halikuwa muungano, neno muungano lilitumika ili kurahisisha mambo. Lakini takwa la Marekani lilikuwa Nyerere aichukue Zanzibar na kuifanya kuwa sehemu ya Tanganyika. Huo ni wakati ambao Tanganyika ilikuwa rafiki wa karibu wa Marekani na Ujerumani Magharibi...
Back
Top Bottom