Wewe nenda kambong'olee tuu lakini mtaro ukitanuka jiandae kwa taraka 3!!
We dada mzinifu bure kabisa, yaani unaomba ushauri jinsi ya kumsaliti mumeo! Hakika dhambi ya usaliti haitakuacha.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA HALMASHAURI YA WILAYA MASASI
NAPENDA KUWATANGAZIA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI MASASI WENYE SIFA KUOMBA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZIFUATAZO:
1. MWANDIKISHAJI NA MUANDAAJI WA ORODHA YA WAPIGAKURA (NAFASI 956)
• AWE MTUMISHI WA UMMA (PUBLIC SERVANT)
• AWE MUADILIFU...
Ahsante mkuu,
ila huo mradi unahitaji pesa na mimi hata pesa ya kuanzisha biashara ya karanga sina ninachopigania kwa sasa ni kibarua ili niweze kudunduliza na kupata pesa ya mtaji
Mimi in kijana wa kiume umri miaka 26 na ni mkazi was Dar es salaam elimu yangu ni kidato cha sita nimeshindwa kuendelea na elimu ya juu kutokana na ukata unaoikumba familia.
Sina mtoto na bado naishi nyumbani napambana kusaka tonge kwa ajili ya familia nafuu yangu ni baba kujenga kibanda hapa...
Natumaini hamjambo,
Mnamo tarehe 30/08/2019 nilipost ujumbe wenye kichwa cha habari kama kinavyosomeka hapo juu
Kwanza kabisa natanguliza shukrani kwa wale waliokuja PM kwa nia njema ya kunisaidia na bila ya kusahau na hata wale waliousoma na ku-comment ujumbe wangu
Wengi walikuja kwa lengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.