nimesome BBA IN ACCOUNTING WITH EDUCATION, MAJOR ACCOUNTING MINOR MANAGAMENT. kama kuna anayefahamu nijulishe kupitia e-mail ericndunguru@yahoo.com au phone 0765315758
nadhani hii yote ni kwa sababu ya changamoto za walimu. maisha sio.. serekali haitujali hadi tunachagua pa kufanyia kazi. mi niko mbeya nataka kwenda songea je yupo wa kubadilishana nae jamani?
jamani mi niko universty nasoma bba in accounting with education, kuajiriwa naona ni manyanyaso sana natamani kujiajiri na nimeplan kujikita kwenye kilimo na ufugaji, lakini naogopa risk. inanichanganya sana. na maliza chuo mwezi jully mwaka huu. naomba ushauri na faraja yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.