Recent content by Half monked

  1. H

    Barua ya wazi kutoa gerezani kwenda kwa Rais Magufuli

    Unafikiri kama wewe hujaelewa basi mwingine hataelewa?
  2. H

    Utoroshaji wanyama hai, Ikulu ya Kikwete yahusika

    Si unajua majibu yake! Atakujibu simple tu: NIMECHOMEKA NINI!? na kuishia kucheka tu.....
  3. H

    Kubenea ampa onyo kali Nape

    Mkuu, nafikiri bado bunge halijaanza na nafikiri pia hiyo ni fani yake. Inaonekana una-miss the point regarding the matter in question...
  4. H

    Mabadiliko ya Uongozi yaja CHADEMA: Lowassa Mwenyekiti, Mbowe Katibu Mkuu

    Usiwe na wasiwasi mzee wa "politique", kuna CAG office itafanya kazi. Na sasa hakutakuwa na ufisadi kwa kuwa CAG ni wa upande mwingine na hii ndo TZ tunayoitaka dada/kaka!! Sio ile ya baba m/kiti, mama mnec, mtoto mnec sijui huyu ni mwenzetu ni fulani! JPM is in control so usilielie ndugu...
  5. H

    Ni aibu kwa Tanzania kukosa ubalozi nchini Israel

    Pole!! I think sio mawazo yake yeye, otherwise the bible is not a book of wisdom to you!
  6. H

    Rais Mstaafu Kikwete akataa kuishi Msoga? Anataka kuishi wapi?

    Mkuu elli, kumjibu huyo kenge anaeita watu nyumbu unapoteza muda wako bure!! Kuna watu wana matatizo ambayo hata dunia inawajua wako hivyo, tuna background tofauti sana hasa hasa kutokana na mafundusho ya utotoni. Hata ukiwa mkubwa kubadilika ni sheeeda!!! Over and out!!!
  7. H

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    We ni kenge mla makombo tu ya riz1!
  8. H

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Msirushiane Mpira huku mkiwazuga wabongo, huo ni ugomvi wenu weenyeeweee!!! Now wa-TZ wamepata kitu roho inapenda, ila inauma!!!!!!!!
  9. H

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Abunuwasiiii!!! Umesomwa sana wakati unatetea "familia yako/yenu" sasa quote zako unazo-post, mmh!! Hivi kuna mtz utakayemdanganya these days?! Pole sana! labda wewe huenda ni mmoja wa watunukiwa wa ukuu wa...nanihiii. Poleni sana and we are watching "the trend"!!!as Tanzanians
  10. H

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Mpuuzi tu huyu kama dingi yake! Sote kama waTZ tunajua jinsi ambavyo wamekuwa na majibu ya kiswahiliswahili! Tushukuru Mungu we are safe to date! Riz,mbona ulisema unaenda mahakamani Dr. Slaa alipokutuhumu kuhusu utajiri wako? Na ukasema una kigari kidogodogo tu? Ninyi watu mmeipeleka nchi...
  11. H

    Rais atunukiwa PhD ya Heshima (Sheria) na Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia

    Duuh! haya bana!! nilikuwa sijui kabisaa ndugu msomi wa vyuo vyetu vikuu vizuri, sio vya kina sijui kanumba au kayumba!! pia inawezekana A'level ulisoma combination ambazo zinaogopewa na students wengi.
  12. H

    Nape usijibaraguze..km madiwani 4 tuu hadi mauaji..Sasa ni jimbo kwa jimbo eti haiumizi?

    mweeeh!!! wakati napitia maoni ya wadau mbali2, ghafla umenitoa nje ya mada baada ya kuona hii picha!! ni yenyewe kabisa! hadi nimeona kizunguzungu! umenikumbusha mbali sana ndugu yangu.
  13. H

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    aah!! ruta, ni kweli kabisa, uv nyinyiemu na mfungo ni sawa sawa kabisa, wanafiki semeni ndiyooo! ila usigambile sityupiti inifuronti ofu mmai waifu!!!
  14. H

    VIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Rais Kikwete katika Uchaguzi 2010

    mh! akili zilezile!! wenzio wameleta evidence, tena ya video kabisa, wewe unakuja na bla bla tu hapa! yaani unajifyatua akili eti hujui aliyeleta udini ni nani ktk nchi hii!!!! mweeeh!!!
  15. H

    Serikali ilikosea sana kumuondolea ukurugenzi Tido mhando TBC

    Mkuu,sio tbc per see! it's jk with his biasness 2wards 'others'!
Back
Top Bottom