Recent content by Half London

  1. H

    Nabii Flora Peter wa Mbezi Beach...

    Umenichekesha sana. Nilizoeana naye sana hadi tukawa tunawasiliana.
  2. H

    Ujasusi Sebuleni Kwetu

    Na mimi imekataa.
  3. H

    Swebe wapi Jerry?

    Old is Gold. Hakuna wasanii walikuwa watiifu kama wa kipindi kile. Ndiyo maana wengine bado wanaigiza lakini hawana scandal za ajabu ajabu.
  4. H

    Swebe wapi Jerry?

    Bado anaigiza? Anafanya harakati gani hapo Contena?
  5. H

    Swebe wapi Jerry?

    Hahahahaaa....huyo huyo broh. Alikuwa na kina Ben.Jerry kuna igizo aliiba cheni. alichezea kichapo.
  6. H

    Swebe wapi Jerry?

    Miaka ya 2000 tamthilia ya Kaole walikuwa wako juu sana. Wengi bado tunawaona kwenye movie na tamthilia. Lakini kijana aliyekuwa anaigiza kama muhuni na mwizi,rafiki yake na Swebe sijawahi kumwona kwenye igizo wala movie yoyote tena. Yuko wapi wadau?
  7. H

    Tatizo la kutosikia vizuri

    Hata mimi ningependa kujua mnapatikana wapi,gharama za kupima na namba za simu. mimi nipo Dar es Salaam na Kilimanjaro.
  8. H

    Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

    Mimi nilimweleza ambaye alikuwa na bwana'ke kwamba simtaki akanitishia kweli. ila nikayashinda majaribu. Ila nilizaa n
  9. H

    Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

    mwanzilishi wa mada,hata wewe akili yako ni kama ya LEMUTUZ. Picha za yeye na mademu muda wote zimekufikisha mbali? Ptuuuuuuu...........
  10. H

    Wasanii wakali zaidi katika storytelling songs

    Story ba Nyokaa, kamchizi flani hivi! Unatamani hata kumjua Huyo anayesimuliwa kutokana na jamaa anavyomwelezea
Back
Top Bottom