Iwe ni mkakati wa ccm au hila zao, ki kivyovyote wanaharakati wamepata pa kushikia. Ni kupiga kwenye mshono. Wanapita humo humo kupiga spana. Hutuba ya nchimbi ni upenyo mzuri
Naamini Vita vyao ni kweli. Ukisema ni drama unakuwa Kama mtu anaemsikia ndugu yake analalamika maumivu halafu anasema anaigiza tu.
But ni wao wenyewe ccm wammetufikisha hapa.
Kwa sasa Imani ya wananchi iko kwa chadema. Ukitaka kujua angalia idadi ya watu waliopiga kura ilikua ndogo Sana. Na hata hao wachache walienda kipiga kwa ajili ya watu wao waliokuwa wanagombea ubunge na idiwani.
Kadri chadema watakavofanya mikutano yao ndivo dunia itajionea ukweli halisi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.