Hawa wanatupanga, hakuna ugomvi wala nini

Hawa wanatupanga, hakuna ugomvi wala nini

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,900
Reaction score
12,215
He's prepared to be there, kuna imani inajengwa kwa raia dhidi yake. Na mmesha jaa. Wana akili sana wale.

Soon mtasahau agenda katiba mpya, kiki itaamia kwa first one vs second one, nimekaa pale. 2030 inaandaliwa taratibu.🫵

Screenshot_20260603-021901.png
 
Ccm ni kama maji msipoyanywa mtayaoga..so ccm wanawachezea upinzani jinsi wanavyotaka jinsi wanavyokuja wanapokelewa hivyohivyo
 
He's prepared to be there, kuna imani inajengwa kwa raia dhidi yake. Na mmesha jaa. Wana akili sana wale.

Soon mtasahau agenda katiba mpya, kiki itaamia kwa first one vs second one, nimekaa pale. 2030 inaandaliwa taratibu.🫵

View attachment 3600294
Huwawezi kutengeneza kiki inayohatarisha usalamu wa taifa tumia akili na wewe
 
He's prepared to be there, kuna imani inajengwa kwa raia dhidi yake. Na mmesha jaa. Wana akili sana wale.

Soon mtasahau agenda katiba mpya, kiki itaamia kwa first one vs second one, nimekaa pale. 2030 inaandaliwa taratibu.🫵

View attachment 3600294

Ccm ni kama maji msipoyanywa mtayaoga..so ccm wanawachezea upinzani jinsi wanavyotaka jinsi wanavyokuja wanapokelewa hivyohivyo

ULWELI NI KWAMBA VITA YA URAISI.CCM NI.KUBWA SANA . ACHENI KULAINISHA MANENO
 
Leo utasikia wameitwa waandishi wa habari kufafanua kauli ya mbunge kuwa inapotoshwa alikuwa anasemwa mpinzani
 
Naamini Vita vyao ni kweli. Ukisema ni drama unakuwa Kama mtu anaemsikia ndugu yake analalamika maumivu halafu anasema anaigiza tu.
But ni wao wenyewe ccm wammetufikisha hapa.
 
Back
Top Bottom