Nimefuatilia articles nyingi ambazo zinamuelezea bob marley lakini kuna mahali nimekutana na hii kumhusu huyu jamaa..
Kiukweli hapa ameelezewa vizur hata kwa sie ambao tumezaliwa miaka ya 90s unaelewa huyu nguli wa muziki wa rege alipitia katika changamoto gani..
Nisikuchoshe sana ila huna...
Kwa jina naitwa Hamisi, umri wa miaka 24.
Elimu yangu kidato cha nne mwaka 2014 japo nilifanikiwa kwenda chuo lakini kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu sikufanikiwa kuendelea na masomo
Nipo dar esalaam
Nina uzoefu na biashara,
Nipo serious kwa mtu ambae anahitaji kunisaidia namba...
Nina channel yangu lakini bado haijakamilika ipasavyo...
Katika upande wa subscribers tayar nimefanikisha ila bado watching hours.
Kwa mtu anaweza kufanya recomend ya channel au kupromote channel nipe namba yako tuongee..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.