Mkuu hakuna uchawi, sio hakuna tu haukuwahi kuwepo yaan haupo kabisa,uchawi ni vtu vya kufikirika uchawi ni imani uchawi huishe kwenye ufahamu wako,ukifikiri hivo itakuwa hivo
Walimu wasiache kazi ila selikari iwekeze kwenye elimu ikiwemo kuwalipa vizuri.yaan mwalimu leo hii analipwa laki 2 au 4 au 7 alipe nauli avae ale asomeshe..bado anawazazi du
Uchawi ni imani'kitu pekee kinacho weza kufanya na uchawi ukaonekana upo ni imani na hiyo nguvu ili ifanye kazi inataka uiamini/uwe na imani nayo uiishi.hao wanao itwa manabii na mitume wanajua vema siri ya uchawi.ngoja nitumie neno hili wamehaki akili za waumini wao hivyo muumini hawezi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.