Recent content by Hakuna kudumaa

  1. H

    Wageni wa 'ghafla' majumbani mwetu.....

    wambie sisi tunataka kutoka,wachague wao wenyewe waondeke au wabaki hapo
  2. H

    Mkakati mpya wa Bunge/CCM kuhusu katiba mpya huu hapa

    Pale katiba mpya hamna wanakula zetu tu.
  3. H

    Hatimaye Danguro Zakhem Mbagala- Dar labomolewa na serikali

    Hongera sana jeshi la polis temeke,huku kinondoni ndo kuna mabaa na madanguro mengi sana ,jeshi polis kinondoni fanyeni hivyo
  4. H

    Ni kweli Rais Kikwete hapigiwi Mizinga Zanzibar?

    Hao wenzetu waliisha jitenga siku nyingi sema viongozi wetu wanajipendekeza
  5. H

    Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

    Hiyo rasimu imeandaliwa na watu ambao uwezo wao mimi binafsi nauna ni mkubwa,sasa iweje lukuvi asema hiyo rasimu haifai
  6. H

    Huu ni ukatili kwa wanyama

    ahaaaaa wakurugenzi hizi picha zimekaa vibaya
  7. H

    Dar es Salaam City in Photos

    ukitazama hizi ni nzuri lakini njoo tena kipindi hiki cha mafuriko
  8. H

    PCCB mbona kimya?

    Ukiona hivyo kimia kingi basi wenye nafasi wameisha itwa ila ninyi ilikuwa ni zuga,VUMIRIA polepole ndio mwendo
  9. H

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Hapo umesema neno na ingekua vizuri sana vichwani mwao wakaweka dhana ya kujiajiri na sio kuajiriwa kwa maana kuwa watumwa, thank You
  10. H

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Nikuadi Kuwa Hizi Njia Kaka Nitazifanyia Kazi Kwa Kuwa Zina Muonekano Mzuri Na Unao Fahamika ,asante Kwa Kureta Fikra Kubwa
Back
Top Bottom