Wapendwa katika shamba la Bwana wetu Yesu Kristo, kila mwenye macho haambiwi tazama. Dalili zote za kuangamiza kanisa sasa ziko wazi!!
Wapendwa watumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo, kukaa kimya au kutoa matamuko kwa baadhi yenu hakujaonyesha utoshelevu au mabadiriko yanayohitajika, kunahitajika...
Ndg Maggid wewe ni mwandishi wa habari na unaheshimika sana katika jamii. Nashukuru kwambo umefika katika eneo la tukio, wengi tulitarajia utuhabarishe uliyoyaona na kuyasikia toka kwa watanzania wenzetua ambao ni mashahidi muhimu kwa tukio hili. Hapa nashangaa kwani mambo mengi umeyaficha...
Ndg Maggid wewe ni mwandishi wa habari na unaheshimika sana katika jamii. Nashukuru kwambo umefika katika eneo la tukio, wengi tulitarajia utuhabarishe uliyoyaona na kuyasikia toka kwa watanzania wenzetua ambao ni mashahidi muhimu kwa tukio hili. Hapa nashangaa kwani mambo mengi umeyaficha...
Usishangae hilo ndg, wapo ambao ni mawaziri kamili katika wizara zisizo za muungano Watanganyika tumelala usingizi mzito. Eeeee Mungu wa rehema tuamshe katika usingizi huu.
Jambo la msingi hili viongozi wa madaktari. Acha dunia nzima ijue yanayoendelea. Mungu ni mwema na sauti za wengi ni sauti ya Mungu. Mungu awatetee katika hali ngumu hii mnayopitia.
"Nami nilipopita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako, nalikuambia, ujapokuwa katika damu yako, uwe hai; naam nalikuambia, ujapokuwa katika damu yako uwe hai" Ezekiel 16:6-7. Tumshukuru Mungu ambaye alimwona akigaagaa katika damu yake akamweka hai hata leo. Neno la Mungu ni ndiyo na...
Hali hii ya udini itaangamiza taifa letu. Vyeo/kazi haviwezi kutolewa kwa kuangalia dini ya mtu bali sifa sitahiki aliyonayo muhusika kwa nafasi hiyo. Eeeeeeeeeee Mungu tuepushe na hali hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.