Mhanga mwenzangu tuliobakia wa mradi wa bonde la mto msimbazi,nimektumia meseji namba yangu tuweze kuzungumza ama kupeana taarifa mbalimbali zinazojiri
Hili wazo lako nimeliwaza na kuliwazua,huenda kuna watu ndio itakuwa biashara yao iyo mtu mjanja anakuwa na salio la kutosha kisha anakaa nje ya geti kwa wale wasiokuwa na kadi itawalazimu kumpatia mtu buku anamfungulia kisha unapita zako,kwaiyo fursa iyo kwa wale wajanja nimeiona labda itokee...
Hapo ndio atazidi kusimangwa,awaache tu ivyoivyo na uelewa wao,ila hapo ulivyowadanganya mie nimependa,kwani ungewaambia elimu ya chuo uliyofikia bado wangekucheka tu kwa kazi unayoifanya,sasa hapo ulivyowadanganya ndio sehemu ya kujiweka vizuri kimaisha
Kuna mji fulani nilipita buchani asubuhi nikaona wameandika bei ni elfu kumi,ila nikapita mida ya jioni nikakuta wameshusha bei na kuwa elfu tisa na mia tano
Hii inaonyesha Bwana mbwana alikuwa hakubaliki na wafanyabiashara wenzake,yaani hata robo tatu ya kura kashindwa kufika,ila nao wapiga kura wanasiri sana moyoni,itakuwa kabla ya kupiga kura walimpa matumaini ya kushinda ila moyoni mwao kuna jambo wameshalipanga kumpiga chini
Uislamu unasisitiza sana kutenda haki,huo ujinga unamsapoti Mama huoni kama unamdidimiza kupata hukumu nzito na ngumu sana siku atakayokuja kulazwa mwanandani
Sasa uko ndio sehemu nzuri ya kwenda kutuliza akili na kula maisha,nashauri wale visirani na machawa marufuku kuingia sayari hii mpya,nikifika uko chakwanza najitangazia uraisi wa nchi wa kudumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.