Hi Jf doctors!naomba kujua maajabu ya mbegu za papai na tikiti katika mwili wa binadam vilele maajab ya Mloge maana nimekuwa nikisikia tu kwa muda mrefu sasa kwamba mazao hayo ni tiba kubwa.
Kuna bilinganya mkuu,chemsha weka chumvi kidogo kisha komba hivyohivyo bila ugali/wali.endelea kwa siku tatu na zaidi,ukikosa tena usingizi bas kutakuwa na mguu wa mtu.
Swala sio kuchonga mihuri au ukosefu wa fedha! hebu tujiulize,anayeweza kutambua kuwa cheti changu ni halali au batili ni chuo/baraza au wakili? Kama ni mawakili basi hata mitihani ya taifa/chuo wanatakiwa waisajili wao
Umepata kazi bana.Nenda pale Riverside njia ya kwenda kwa mzee wa upako,nyoosha moja kwa moja mpaka uvuke shule ya msingi mbele kidogo utaona bango limeandikwa British Contact.wanajihusisha na ujasiliamali.feedback.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.