Recent content by haji rashid

  1. haji rashid

    Msaada gereji nzuri Gairo

    Automatic transmission ya gari aina gani yani Model pili Year of Manufacture 2000-2005 Kitu Kama hicho jingine Automatic transmission ya Kawaida na ya umeme Yani Electronic Transmission hii hutumia electronics selonoid ili kujua inamatatizo gani lazima utumie Computer Kitaalam Diagnositic Tool...
  2. haji rashid

    Hivi Ziwa Nyasa kwa ramani hii liko nchi gani?

    Ziwa Nyasa lipo Malawi Hakuna ubishi kuhusu Hilo mambo yote yako Kwenye mkataba wa Holigoland wewe Tafuta huo mkataba Google Utapata ukweli wote hamna sababu za kisiasa kwenye jambo la mkataba Treaty hii ni ya 1886 Sasa leo mnaleta siasa rudi nyuma kidogo tu Zanzibar na Tanganyika Mkataba wa...
  3. haji rashid

    Maswali ya mwisho juu ya Escrow

    Mzee TupaTupa ukweli yale malipo ni Mali ya IPTL lakini,Viongozi wakubwa Serlikalini waliuhujumu mfumo wa malipo hayo,ili waweze kuiba Fedha iliyokuwa kwenye Account ya Escrows- Mfumo wa Serikali ya chama cha mapinduzi Rais ni mwenye mamlaka yote, Hata wahusika wanaonyesha dalili zote kwamba...
  4. haji rashid

    Tibaijuka apokelewa kwa Maandamano Jimboni kwake

    Mama huyu ni mwizi mkubwa Kama msaada wakweli angeupata umoja wa mataifa ,maana hata Serikali za Dunia nzima huchota huko sasa huyu bi kizee anatufanya sisi wajinga ni aibu Ilikuwa umoja wamataifa ha kurudi na Dollar 50,000/- leo hapa Bongo kaokota Dollar million moja bila jasho Hata boss wake...
  5. haji rashid

    Tanzania, Malawi zashindwa kufikia muafaka juu ya Mgogoro wa Mpaka katika Ziwa Nyasa!

    Hapa Tanganyika Haina Ziwa ila Malawi ndiyo wamiliki Halali. Ukitaka ukweli lakin ubabe hauna nafasi sasa Kama ubabe basi hata Rwanda na Burundi ni Mali yenu Mona sijasikia kudai Mechukua Zanzibar mpaka leo Matatizo hajesha Tamaa mbele mauti nyuma Fanyeni KAZI Tanzania Ina kila kitu lakini...
  6. haji rashid

    Nahitaji kujifunza uchawi, wapi ninaweza kutimiza lengo langu?

    Ndugu uchawi ni somo kubwa sana linahitaji mtu mwenye ufahamu mkubwa sana,pia uchawi una madaraja mengi sasa nitakusaidia kujua hayo madaraja ili uweze kujipanga utakuwa daraja lipi. daraja la kwanza ni uchawi wa Kitabu daraja la pili ni uchawi wa mawe daraja la tatu ni uchawi wa wanyama...
  7. haji rashid

    Image of virgin Mary grows on tree

    Bikira Maria jina la mama yake na Mungu si ndivyo? Hapana mama yake na Yesu si ndivyo? Hapana mke wa Joseph si ndivyo? Hapana mchumba wake Joseph si ndivyo? Sasa hapa waumini wa biblia sidhani Kama kuna mtu ambaye hajui kusoma na kusoma maana yake usome kilichoandikwa baadaye kuna maswali na...
  8. haji rashid

    Kifo Cha Nabii Eliya Munuo: Mungu amesikia sala ya mnyonge wake

    Very Good sasa kweli wakristo mna Amka ingawa itawachukuwa miaka mingi, Kuelewa Kuwa hawa manabii na Mitume wenu ni Matapeli wakubwa na Baadhi ya watu wenye Madaraka wana wafagilia Kuwa ni kweli wana uwezo huu na ule pia ni watengenezaji wa mashuhuda Feki hasa Akina mama na madada wenye misukumo...
  9. haji rashid

    Kifo Cha Nabii Eliya Munuo: Mungu amesikia sala ya mnyonge wake

    Very Good sasa kweli wakristo mna Amka ingawa itawachukuwa miaka mingi, Kuelewa Kuwa hawa manabii na Mitume wenu ni Matapeli wakubwa na Baadhi ya watu wenye Madaraka wana wafagilia Kuwa ni kweli wana uwezo huu na ule pia ni watengenezaji wa mashuhuda Feki hasa Akina mama na madada wenye misukumo...
  10. haji rashid

    Mjadala mkali kati ya wasomi wa Jamiiforums na Shy land

    Watu wengi wana fikiri kwamba shule Ni secondary au chuo kikuu huo ni Utaratibu wa kima daraja lakini Elimu Kubwa ni Shule ya Msingi yani Darasa la Saba hata hesabu ipo wazi Elimu ya Msingi Miaka 7 Secondary Miaka 4 High School Miaka 2 Chuo Kikuu Miaka 3-4 Sasa 7 Ndiyo Kubwa kima hesabu...
  11. haji rashid

    Kitila Mkumbo: Kikwete mweledi pekee mchakato wa Katiba

    Wana jamii forum pro kitila mkumbo Hana usomi wowote Mimi sina shada lakini jamaa huyu Hata Mimi namshinda kwenye kila Nyanja ya Elimu kuhudhuri Chuo siyo ishara ya kwamba wewe ni misomi hawa maprofesa wa bongo hata kuandika vitabu hawa wezi ila Ni mabingwa wa kutaka sifa kwa viongozi na mademu...
  12. haji rashid

    Una uhakika gani kwamba TB Joshua ni nabii fake?

    TB ni Nabii Tapeli mkubwa huhitaji shahada Kama yeye ni Nabii mbona kashindwa ku jus jengo lake linge a nguka n a kuua wafuasi wake jamani hivi mtatapeliwa mpaka lini muweze Kuamka na kukiri kuwa sasa basi Imani hizi z a upofu ni hatari Endeleni kuwa sifu manabii wasio na ukweli wowote Poleni...
  13. haji rashid

    The difference between Toyota VVTI and D4 Engines

    Heeee Jamani Somo Hilo ni gumu sana kwenu maana pamoja na English Zenu, Engine hizo mbili ni vitu viwili tag auto kabisa vvt I 4 D 4 wapi na wapi 1 g zipo nyingi Model hizi huendana na matoleo tafauti huku Diesel na Petrol zikishindana kwa unorganized wa matumizi likiwemo Hilo la Emission...
  14. haji rashid

    Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Hakuna katiba mpya c c m ni chama kilicho kosa Dira miaka mingi iliyopita, leo wanakuja na sera ya katiba wapi na wapi Hawa jamaa wa Tanzania wengi hawa wajui. Vizuri nanza na kila uwongo Walio simamia Toka Uhuru Hadi Leo 1) Wataondoa Ujinga na Umasikini na Maradhi mpaka kesho hakuna lolote 2)...
  15. haji rashid

    Ali Karume atangaza rasmi Tanganyika na Zanzibar kuongozwa kijeshi kama serikali mbili zitakataliwa

    Kwakweli mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupata jibu tafauti na Hilo, Mh,Ali Karume Baba yake kapindua serikali Halali ya Zanzibar sasa Serikali, Tatu kwake kiwewe Ana hofu ya kustakiwa yeye na Ndugu yake mauaji ya tarehe 27- Zanzibar na mambo mengi Kama yanayo wakuta watoto wa Muhammad...
Back
Top Bottom