Trafiki hovyo kabisa mida hiyo wanabadilishana shift wanawaza maokoto na kubambika makosa Kisha kurusha kwenye TMS.
Juzi walinipiga cheti eneo la Ngomeni Tanga kosa la kutembea 55kph badala ya 50kp imeniuma sana hela ya kula wanangu.
Sauli, New Force, Msigwa ligi ya kufukuzana matakoni bado hawajakoma.
Saa 12:45 asubuhi Morogoro kwenye kituo cha Daladala Mafiga wanapita speed ya kufamtu bila kujali Zebra pumbafu zao.
Masuka wa Sauli, New Force, Super Feo, Msigwa mavi yao wote wanafukuzana kipumbafu sana. Saa 12:45 asubuhi huwa wanapita kwenye mataa ya Morogoro wanafuata matakoni kama siafu.
Mamlaka husika nyang'anya Leseni hao Masuka waliosababisha ajali kwa kufuzana matakoni kama siafu pumbafu zao.
Sent...
Boom kuchelewa that's too much SUA wenye akaunti CRDB wameshalamba isipokua NMB bado hali ni mbaya madent wakienda utawala kuuliza wanajibiwa mbovu wengine wamesepa zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.