Recent content by Haile Selassie Son

  1. Haile Selassie Son

    Ushauri kwa Wanaofanya Interview Utumishi

    Duh hicho kitengo cha kunyoa sasa sisi wavulana wenye rasta vipi? Na hatuvuti bangi wala kunywa hayo mapombe yao! Ni maji na Agano la Kale tu. Tunafanyaje sasa hapa mkuu
  2. Haile Selassie Son

    Msaada; Jambo la mahari hufanyikaje kwa Wasukuma..?

    Mjulisheni na ng’ombe zisizo za miguu kwa sasa ni shilingi ngapi thamani ya ng’ombe mmoja! Last time dada yangu ameolewa ilikuwa ng’ombe 16. 10 za miguu (really cows) na 6 zilikuwa za hela (cows converted to money) so that time ng’ombe mmoja ilikuwa ni elfu hamsini - therefore ng’ombe unazotaka...
  3. Haile Selassie Son

    Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

    Uwepo wa Jamii forum unanifanya niamini Mungu kweli yupo! (At the same time uwepo wa ma-zero critical thinkers ndani ya Jamii forum unanifanya niamini kweli Shetani yupo)
  4. Haile Selassie Son

    Nchi 76 wanazoruhusiwa watanzania kutembelea bila ya viza

    Hao dawa yao scandnavia kuwaolea mabinti zao tu. Ukiwa alone alone utakuwa very lonely and frustrated. Chukua binti yao piga mimba maisha yanaendelea, ukiwa nae barabarani hawatakubagua sana kama ukiwa alone! Ukishavuna vyako rudi bongo! Kwisha habari
  5. Haile Selassie Son

    Nchi 76 wanazoruhusiwa watanzania kutembelea bila ya viza

    Ndiyo mkuu ni maskani wa Mali lakini sio masikini wa Roho! Niliwaona ni watu wastaarabu sana ndio maana watalii wengi! Watz sisi tunaustaarabu wa kinafiki kwa wageni! Ujanja ujanja mwingi na wezi tunao wengi sana kwa wageni
  6. Haile Selassie Son

    Nchi 76 wanazoruhusiwa watanzania kutembelea bila ya viza

    Mkuu umesahau Nepal juzi kati nilikuwa hapo Kathmandu. Swali moja tu na mhuri PAA! namaste [emoji1545]
  7. Haile Selassie Son

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Wakuu huu uzi sijui mi ndo slow leaner au kuna watu wana speed zaidi ya light katika kusoma au walikuwa wanavijua hivi vitu before? Anyway sikati tamaa na sitaki kuchanganywa naendelea kujinoa and hopeful nitakuwa bongo muda wa training ya Ontoria. But wakuu sijawahi sikia humu ndani mtu...
  8. Haile Selassie Son

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Very Very Very good idea mkuu Ontorio. Just ushauri app itakapotengenezwa zimu zote ziweze kusuport maana nimeona app nyingi zinazotengenezwa na vijana hazisupport kwenye iPhone. Asante
  9. Haile Selassie Son

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Kitabu nishapata cha bwana Brian naanza kusoma kama ifuatavyo.......
  10. Haile Selassie Son

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Nimekaa Denmark kama taxi driver miaka minne. Kule ukipata chance ya kwenda we nenda kafanye kazi za kufunga mabox au kusafisha kiwanda kimoja cha nguo kipo Hedeslev unapiga laki tatu kwa siku japo kodi ya nchi ile ni kubwa 47% lakini bado unabaki kama na kilo mbili hivi. Ila uwe sio mzembe...
  11. Haile Selassie Son

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Wewe na mimi hatupishani. Kadegree kangu kamoja tu wategemezi kibao siishi kwa raha mjini kila saa simu za kuombwa hela tu. Nimeomba scholarship Norway China na Sweden. Zikigoma naenda kujisomesha. Mwaka jana nilipata chuo ila nikawa nategemea mpaka scholarship....sasa mwaka huu nikikosa...
  12. Haile Selassie Son

    Polisi wamkamata Tundu Lissu(Mb) akiwa nyumbani kwake Dodoma. Apelekwa Dar, anyimwa Dhamana

    Never see the hyper and get confused! Never get lost on the crossroad!Never lose your way, the truth is there to be found! Keep it Holy. JAH KNOWS
Back
Top Bottom