Jaman ndugu zangu JF naomben msaada nna mpenz wangu ambaye nampenda sana ila mara nyingi nkikutana naye huwa kisiran sana namuuliza n tatizo ananijibu jeuri na kuna wakati ananiambia kuwa c yy bal anahic kwamba anajini mahaba ndo anamfanya awe ivyo Naitaj msaada wenu wana JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.