lugola asikutishe huyo mbwa,na kama haamini afanye anachoweza halafu aone tunajuwa anapoishi na ndg zake tunawajuwa na ajaribu aone.Mkama kumbe mjinga sana!
Hii habari ni yakweli?mana nimesikia jana kwenye chombo cha habari kuwa hukumu imeahirishwa mpaka baada ya kumalizika kwa mkutano huu wa bunge unaoendelea.tunnaomba source yako plz!
Hapa kuna jambo linaandaliwa kujustfy intelejensia yao,lengo hasa nikuwazuia kabisa chadema kufanya mikutano yao hasa wakati huu wa vuguvugu la KATIBA mpya na huu ufisadi unaondelea kuibuliwa na kamati za bunge.Kwa hali ilivyo sasa serikalini wanaweza kufanya chochote ili kuhamisha mawazo ya...
Pole mzee mwenzangu,mungu akuponye haraka uwezekuendelea na shuguli zako.Jamani hiki kifo tunatembea nacho hatujui muda,siku wala saa kinawezatokea,tuombe na kushukuru kwa kila jambo.
Umenikumbusha yule bosi aliyeinunuwa Uda ambae ni rafiki wa mtoto wa mkulu,wakati wa uchaguzi wa ubunge mwaka jana kwenye lile jimbo la Shibuda alimpiga ngwala OCD na hakufanywa lolote na alikuwa ni mgombea tu,jiulize sasa ww mbunge unatetea wananchi wako unalambwa vibao,can u imagine?Kigwangala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.