Recent content by hagai jr

  1. hagai jr

    RC Makonda: Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi Serikalini

    Amshauri bwana mkubwa wake afute watumishi wote wakuu wa mikoa na wilaya hawa wanaitia hasara serikali
  2. hagai jr

    DC Godwin Gondwe ameamuru Polisi kuwasweka ndani waandishi wa habari

    Mmh yamekuwa haya tena ama kweli ukitaka uifaidi giningi lazima ufuate mdundo wa ngoma ili uendelee kuwepo giningi daima!!kesho yaja nayo ni siku huenda Gondwe ukawa kma yule......
  3. hagai jr

    TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

    Simanzi kubwa kwa taifa,mzee wa speed &standard let your soul rest in peace in eternal life
  4. hagai jr

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Hakika mayalla alinifanya niwe na shauku ya kusubir majibu y kina toka kwa rais lkn daa majibu yale yalinifanya nizime na radio kabisa!!
  5. hagai jr

    Hivi ni kweli wanafunzi wenye diploma hawastaili kupewa mikopo?

    Umeelewa nini kuhusu waombaji wenye sifa linganishi(equivalent qualification)zilizotolewa na bodi husika!!in short hawana sifa y kukopeshwa na serikali y awamu ya tano!!!
  6. hagai jr

    Diploma Holders

    Duuu polen sana diploma holders maan hii serikali imeamua kutowapa mikopo waombaji wote wenye sifa linganishi yaan equivalent qualification hii eti ndo serikali tuliyokuwa tunaitaka kwa awamu tatu nyuma!!!we miss you mjomba jk
  7. hagai jr

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Kwa walio na uzoefu wa biashara hii ni namna gani ya uendeshaji wake,faida changamoto zake huku mm ni mwanafunzi wa chuo,gharama za fremu,na eneo zuri la kusettle hii biashara hapa Dar ,namna ya kuupata mzigo mzuri .kwa kuanzia na mtaji wa 2.1Mil. Msaada wenu tafadhari wana JF.
  8. hagai jr

    Mtaji milioni 3, biashara ipi itafaa?

    Hakika umenifumbua macho ngoj niku PM for more info
  9. hagai jr

    Wale ambao tuliitwa interview Zimamoto!

    Nakumbuka vizuri sana tangazo lao lililohusu kufutwa kwa usaili uliotarajiwa kufanyika trh April 20,tena kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili wa ajila na mtukufu wako,jiongeze mkuu usibweteke
  10. hagai jr

    Kuhusu Umeya wa Kinondoni

    Asante Malisa kwa ufafanuzu mzuri ila madiwani wa UKAWA wawe kitu kimoja kufanikisha adhma yao isije ikatokea tafrani ya usaliti
  11. hagai jr

    Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

    Huyu ndiye watanzania walimsubilia tangu aondoke baba wa taifa hili tehetehe....Endelea kujifungia ndani mtukufu ukisoma report ya maafa ya tetemeko utaletewa report ofisini juu y walichojadili,,hii ndo hapa kazi tu
  12. hagai jr

    Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA na Waandishi wa Habari - Agosti 25, 2016

    Itaeleweka tu hadi 1 sept e mungu wajalie wenye mamlaka wawe na roho zilizopondeka kunusulu hali hii!!
  13. hagai jr

    Zimamoto wamezima usaili kisa hiki hapa

    subira inahitajika kama nafasi ipo itakuwepo tu,tuepuke kuamini sababu zinazotolewa kwani hazina chanzo cha kuaminika!!
  14. hagai jr

    Je usaili wa immigration umeshafanyika?

    Kuwa mvumilivu kwani kazi ya kuchambua barua za applicants inahitaji mda na idara husika ina majukumu mengi!!be patient up to january or february 2016
Back
Top Bottom