Recent content by HADOHADO

  1. H

    Urasimu DES out

    Nimehitimu chuo kikuu huria mwaka jana, Vyeti vimetoka mwaka huu mwezi wa tano. Tatizo lipo kwenye utaratibu wa kuchukua vyeti hivyo. Chuo kimetoa masharti magumu , kati ya masharti ni kujaza fomu maalumu na kwenda kuapa mahakamani au kwa wakili ili kugongewa mhuri. Kama mnavyojua mahakama...
  2. H

    Mbunge wa Maswa Magharibi CHADEMA John Magale Shibuda Mwaka 2015 kutimkia TADEA

    Ukweli upi?let us be transperate and logical.Vijana ni wakati wetu kushiriki katika maamuzi tusitumike kama toilet paper.
  3. H

    Mbunge wa Maswa Magharibi CHADEMA John Magale Shibuda Mwaka 2015 kutimkia TADEA

    Ukweli utabaki palepale wachumia tumbo hawatakiwi.mm niko tayari kumuunga mkono mgombea yoyote mwenye sifa bila kujali chama anachotoka.
  4. H

    Mbunge wa Maswa Magharibi CHADEMA John Magale Shibuda Mwaka 2015 kutimkia TADEA

    Unafiki na ushabiki unaongozwa na njaa kwa sasa siyo muda wake.M4Cjb bila shaka njaa na empty brain ndiyo vinavyo kufanya usifikiri vzr na kuanza kuiibu kejeli.
  5. H

    Mbunge wa Maswa Magharibi CHADEMA John Magale Shibuda Mwaka 2015 kutimkia TADEA

    mm namkumbuka sana mzee Pius Yasebasi Mwandu kwa namna alivyosukuma mbele maendeleo ya maswa.Tangu aondoke Pius awamu kadhaa za uwakilishi zimepita ikiwemo aliyekuwa mbunge wa maswa Jidula mabambasi ( CCM), baadaye Shibuda na Kasulumbayi wote wa CHADEMA maswa imepolomoka kimaendeleo.Hii...
  6. H

    Wenye uwezo wa kufundisha, njoni tuchape kazi

    I'm an expressed english teacher.0766407100
  7. H

    Hatimaye katibu wa klabu ya wandishi dodoma aachia ngazi

    Katibu wa klabu ya wandishi wa habari Dodoma ajihudhuru huku akikabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa fedha na mali za klabu hiyo. Hatua hiyo imefikiwa leo katika kikao cha wajumbe kilichofanyika katika ukumbi wa uliopo katika ofisi ya mkuu wa mkoa. Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa kamati pia...
  8. H

    Hatimaye katibu wa klabu ya wandishi dodoma aachia ngazi

    Katibu wa klabu ya wandishi wa habari Dodoma, Israel Mgusi amejihudhuru rasimi leo tarehe 12 Julai, 2014 wasifa huo baada ya kukaa katika nafasi hiyo kwa takribani mwaka moja. Hatua hiyo imefikiwa katika kikao cha wajumbe wa mkutano mkuu uliofanyika katika ukumbi uliopo katika ofisi ya mkuu wa...
  9. H

    Ogopa matapeli

    phishing
  10. H

    NBC Bank Tanzania

    Usihofu taaluma yako itakuuza
  11. H

    Vicent Nyerere: Ukimtumia polisi SMS ya 'tafadhali nipigie', atakujibu kwa SMS ya 'Niongezee salio'!

    Jamani hebu mwambieni huyo jamaa atuambie mke wake anaelimu gani na mshahara wake ni shillingi ngapi,ili tuweze kulinganisha na mishahara ya watumishi wengine wa serikali wenye elimu kama yake.Huku tukae tukijua kuwa polisi wanapata huduma ya umeme bure, maji bure,nyumba ya kuishi bure hata kama...
  12. H

    Vicent Nyerere: Ukimtumia polisi SMS ya 'tafadhali nipigie', atakujibu kwa SMS ya 'Niongezee salio'!

    Eti wakuu wa polisi mikoa(RPCs) wanatuma askari kulisha familia! Maneno haya hayaingii akilini kabisa.Mnaojidai wasomi fanyeni utafiti kabla hamjaleta hoja au kuanza kushabikia ulimbukeni humu. Angalieni magari wanaotembelea RPCs,nyumba wanazoishi, ofisi zao, vipato vyao na stahili zao...
  13. H

    Vicent Nyerere: Ukimtumia polisi SMS ya 'tafadhali nipigie', atakujibu kwa SMS ya 'Niongezee salio'!

    kama kuna madaktari feki (yaani wasio kuwa na taaluma ya udaktari) na wanatibu watu, unashangaa nini kuwa na baadhi ya Polisi wasio kuwa na elimu nzuri.Je, ni idara gani ya serikali ambayo watumishi wake wote wana shahada, stahashahadada au cheti? Mimi naona kuanza kuwakashifu askari polisi ni...
  14. H

    Help: I cant wash his underwear

    Inaonekana unaona kinyaa kufua nguo za ndani za mmeo.Je siku yuko hiyo anajisaidia kitandani kitandani utadhubutu kumtawaza akijisaidia kitandani? ww ni bdalili ww si mke mwema mwenye kuweza kuvumilia mme kwenye shida na raha
  15. H

    Angalia picha mahabusu Mwanza ajipaka kinyesi akijaribu kutoroka

    Mimi nampongeza sana askari kwa umahiri na ukakamavu katika kutekeleza wajibu wake
Back
Top Bottom