Dawa ya Moto si moto, ila maji , Serikali ijaribu kutumia njia za amani na za uhakika katika kuamua mambo kama haya, leo Sheikh Ponda kesho Mtikila, hawa watu wanahitaji kupewa elimu ya kujua faida na hasara ya matamko yao,Mimi ni Muslamu lakini tuna mambo mengi ya kufanya katika kuendeleza dini...