samahan wakuu kwa ku interrupt topic yenu lakin naomben mnisaidie kwa hili mm nkijan mdogo tu kwasasa npo dsm nmejchang nmepata million moja ivyo naombeni ushaur ni biashara gan itanpatia mapene kwa harak au tafadhal
Kiukwel cna knwledge juu ya hil bt nlifaham baad ya kutak kujfunz IT online, baad ya kuingia YouTube na kufatilia ni kapat info kwamb i must learn POWERSHELL kwakua nlikua cna nnach kijua kuhus powershell nkaon nije kutak ushaur na nfahamu vizur powershell inahusian na nn?
Jaman naombeni ushauri nlimaliz 4m4 2013 nkaend adcance kwa kozi ya hgl lakin leo naona bora nitumie chet changu cha 4m4 nkasome koz za afya
Bios B+
Chem B
Math E
Physics (ckfanya)
je nawez kupata chuo cha afya kwa koz ya nursing dploma?
jamani mm ni mwanafunz nily maliza kidato cha sita mwaka huu kwaiyo nahitaj kufaham jins ya ku apply mikopo pia muda sahihi ninao htajika kufany zoez hil tafadhal mweny kufahamu naomba anptie msaada
jamani mm ni mwanafunz nily maliza kidato cha sita mwaka huu kwaiyo nahitaj kufaham jins ya ku apply mikopo pia muda sahihi ninao htajika kufany zoez hil tafadhal mweny kufahamu naomba anptie msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.