Nakumbuka Mwl katika hotuba yaker wakati wa mazishi alitamka kwamba MADAKTARI NA POLISI wamethibitisha kuwa Sokoine amefariki kwa ajali ya gari ,period
Ajifunze kuangalia upepo,akaulize mkuu mmoja alikuwa mkuu wa mkoa morogoro 2005 alimsaport mgombea mmoja hadharan,matokeo yake jk akapita,tangia hapo huyo jamaa hakusikika tena ktk medan za kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.