Hahaha hamna FIFA wala nn hapo. Serikali ni serikali tu. Hivi ishindikane kuingiliwa kwenye mambo ya uchaguzi ndio iwezekane kwenye mpira ah wapi. Huh mgomo ni danganya Toto tu
Habari wanajamvi,
Naomba kuelezea kero yangu juu ya waandishi wa habari za michezo wa Bongo. Yaani mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni tatizo ni kwamba hatafsiri na wala hafafanui walichozungumza wakati anajua wazi lugha ya taifa ya Bongo ni kiswahili.
Je, washibiki...
Tunashukuru kwa ushuhuda huo..hongera sana..ila ndugu yetu hebu dadavua walau kidogo namna ulivopita hats ukafika hapo ili kusudi hata wengine waliopo kwenye ajira wanawaza kuwa inspired
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.