Recent content by Habari za Zanzibar

  1. H

    Ijumaa Kuu: Ghati Zephania Chomete anawatakia Wakristo wote, wananchi wa Mkoa wa Mara na Watanzania kwa ujumla tafakari ya kina, amani na unyenye

    Ijumaa Kuu Katika Siku hii takatifu ya Ijumaa Kuu, Mhe. Ghati Zephania Chomete anawatakia Wakristo wote, wananchi wa Mkoa wa Mara na Watanzania kwa ujumla tafakari ya kina, amani na unyenyekevu. Aidha, anasisitiza umuhimu wa kusameheana, kuhurumiana na kuishi kwa upendo kwa kufuata mafundisho...
  2. H

    UONGOZI NI KUSIKILIZA: SOMO KUTOKA KWA DKT. MWIGULU NCHEMBA

    UONGOZI NI KUSIKILIZA: SOMO KUTOKA KWA DKT. MWIGULU NCHEMBA Katika siasa na utumishi wa umma, nguvu ya kiongozi mara nyingi hupimwa kwa uwezo wa kuzungumza na kuamua. Hata hivyo, kipimo cha juu zaidi ni uwezo wa kusikiliza ambacho mara nyingi hupuuzwa. Katika mazingira ya maombolezo, Waziri...
  3. H

    Mwigulu: Serikali kuimarisha mikakati ya kufukuza Tembo maeneo ya wananchi ili kukabiliana na athari

    Serikali itaendelea kuimarisha mikakati ya kufukuza Tembo katika maeneo ya wananchi ili kukabiliana na athari zinazosababishwa na wanyama hao-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba 📍Dodoma-Tanzania 🗓️Aprili 2, 2026
  4. H

    Ghati Chomete ashiriki ibada ya mazishi ya Lukuvi, Iringa

    GHATI CHOMETE ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MHE. LUKUVI, IRINGA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Ghati Zephania Chomete (Mb), tarehe 31 Machi 2026 alishiriki ibada ya mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la...
  5. H

    NI LEO : HOTUBA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU 2026-2027

    NI LEO: HOTUBA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU 2026-2027 MUWASILISHAJI: Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. MAHALI: Bungeni, Dodoma. TAREHE: Aprili 1, 2026. MUDA: Saa 3:30 Asubuhi.
  6. H

    Mheshimiwa Lukuvi atakumbukwa kwa mengi - Waziri Mkuu Nchemba

    WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa mengi na Watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka katika nafasi mbalimbali alizohudumu...
  7. H

    Tanzania yahimiza Matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC

    Tanzania yahimiza Matumizi ya AI Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa katika kukuza mtangamano na kuharakisha maendeleo katika Jumuiya ya Afrika...
  8. H

    Waziri Mkuu Nchemba awasili Iringa kumuwakilisha Rais Samia kwenye mazishi ya Lukuvi

    Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Machi 31, 2026 amewasili Iringa Mjini akiwa njiani kwenda Idodi kumuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. William Lukuvi. Kwenye uwanja wa Ndege...
  9. H

    Waziri Mkuu Nchemba awasili Nyumbani kwa Lukuvi, Idodi Iringa

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu Mhe. William Lukuvi, Kijiji cha Idodi mkoani Iringa kuongoza...
  10. H

    Ghati Chomete aungana na waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa Lukuvi, bungeni Dodoma

    GHATI CHOMETE AUNGANA NA WAOMBOLEZAJI KATIKA IBADA YA KUAGA MWILI WA MHE. LUKUVI, BUNGENI DODOMA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Ghati Zephania Chomete, tarehe 27 Machi 2026 ameungana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), Spika wa Bunge...
  11. H

    Dkt. Mwigulu: tuendelee kumuombea Lukuvi

    DKT. MWIGULU: TUENDELEE KUMUOMBEA MHE. LUKUVI WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, marehemu William Lukuvi aliyefariki jana Machi 25, 2026 katika...
  12. H

    Ghati Chomete asaini kitabu cha maombolezo kwa Lukuvi

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete, leo Machi 26, 2026, amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi. Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa...
  13. H

    Waziri mkuu atoa salamu za pole kifo cha William Lukuvi

    WAZIRI MKUU ATOA SALAMU ZA POLE KIFO CHA WILLIAM LUKUVI Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, akiwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (PICC) kushiriki Mkutano wa 110 wa Wadau wa Elimu kwa Umma (WASHITIRI) leo Machi 25, 2026, ametoa salamu za pole...
  14. H

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha. Msaada huo umekabidhiwa Machi 24...
  15. H

    Eid Mubarak from Ambassador Dr. Mahmoud Thabit Kombo. Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation

    Eid Mubarak from Ambassador Dr. Mahmoud Thabit Kombo, Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation.
Back
Top Bottom