Wewe umewahi kushika hata katiba kwa mkono ukaaangalia hata cover yake licha tu hata kuisoma? Mm naongea mambo ya msingi maandamano ni haki ya kila mtu kikatiba sasa sijui kama unajitambua au unakuja na mihemko, kaa jitafakari hujitambui kaa tulia
Wewe si yule uliyejinasibu kuwa ni mtusi ambae warais wote wa africa mashariki watusi ndiyo mnaowaweka? sasa mambo yakijeshi yanatoka wapi wakati kwa uzwazwa na unafiki wako mkubwa na kejeli kuwa watusi ni watu wenye akili sana ingieni na Burundi kasimamisheni huko kibaraka wakitusi nyie si...
Mwanaume asiyetaka mtoto atakuwa na mental illness yaani huyu siyo ila kwa nyie wa kike hamtaki watoto kabisa sijui ooooh sijajipanga mara hadi niolewe nyie wanaume hamwaminiki masababu chungu nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.