Kwa kifupi Bunge la EU Desemba 12 mwaka huu limetoa lawama nzito kwa Serikali ya Tanzania kuhusu mambo mbalimbali hasa wakikazania ushoga.
Wamekwenda mbali zaidi ya kusema Tanzania ifute sheria zote zinazozuia ushoga na ufirauni unaoendana na huo.
Sasa cha ajabu Zitto na Karume, waislamu kabisa ambao dini yao inaongoza kulaani ushoga ndio wamelewa kabisa kwa fedha za wazungu, wanaunga mkono tamko la EU na ndio safari hii wametumika kuanza kulisambaza mitandaoni.
Aibu sana kwa kweli, Taifa linapita pagumu, sana ila siku zote haki hushinda batili.
Wamekwenda mbali zaidi ya kusema Tanzania ifute sheria zote zinazozuia ushoga na ufirauni unaoendana na huo.
Sasa cha ajabu Zitto na Karume, waislamu kabisa ambao dini yao inaongoza kulaani ushoga ndio wamelewa kabisa kwa fedha za wazungu, wanaunga mkono tamko la EU na ndio safari hii wametumika kuanza kulisambaza mitandaoni.
Aibu sana kwa kweli, Taifa linapita pagumu, sana ila siku zote haki hushinda batili.