hizi pesa za mkopo sidhani kama hatuwarudishii na zinakataliwa as if we take them for good wakati huwa tunarudisha hivi mnashindwa kuchukua pesa japo kidogo kutoka sector kadha wa kadha ili wanafunzi tupate kusoma at least asilimia 0 you can do that ili mtupe inspiration make ninaelewa ktk...
mama amsaidie mzee kivp tunataka mawazo ya yeye kama yeye maswala ya kushauriwa wrongly ndo hvhv unakuta tunaingia kwenye shida zisizo za msingi JPM do your thing baba
daah this time round itakuwa hatari cause mambo yamekuwa magumu hapa chuon almost 200 people out of a thousands ndo wamepata mikopo sasa kweli canteen kutaendeka na hali hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.