Hili jambo ni sahihi kabisa. Tazama viongozi wetu, angalia jinsi tunvyochukiana wenyewe kwa wenyewe bila sababu za msingi. Na ndio maana hatuwezi kufanya kitu kit aka chronic Aisha taiga kwa ujumla
Habari wana jamii forum, LEO nataka niwape somo ambalo pengine wengi wenu hamkubahatika kufahamu. Katika urithishaji wa kumbukumbu kwa mtoto anayezaliwa limekua ni jambo ambalo kwa asilima kubwa halifahamiki kwa wafrka wengi, hii pia imetokana na madaktari wengi kutofundishwa vyuoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.