Recent content by GWIPYANA

  1. GWIPYANA

    TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

    Duu mimi nilijua ni kawaida tangu nifungiwe mita mwaka jana mwezi wa nane mwezi nakatwa sh.2000 hapa ndo nimezibuliwa masikio
  2. GWIPYANA

    Wanasheria wa CHADEMA kesi hiyo msiilalie, ichangamkieni mpaka kesho

    Shida ni mahakama KESI YA NGEDERE UKAMPELEKEA NYANI
  3. GWIPYANA

    CCM kuweka mabadiliko ya Katiba kwenye ilani ya 2020-2025 wanalenga tupate Katiba ya wananchi au ya watawala?

    Lengo kuu ni kutaka kuondoa ukomo wa mihura ya urais, Jiwe kawashika pabaya ccm hata wabunge watakaopitishwa awamu hii ni wale watakaoimba pambio la bwana asifiwe na aameeni.
  4. GWIPYANA

    Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

    Mimi siwezi kukubariana na hoja yako kwani kwa sasa nchi yetu kila kitu kipo kisisa mpaka ugonjwa wa corona sisasa tupu hatuambiwi ukweli, polisi wapo kisiasa mf kifo cha mwangosi,Akwilina,shambulio la Tundulisu na mengine mengi tu viko wazi lakini sijaona haki ikitendeka ni propaganda tu ndicho...
  5. GWIPYANA

    Hukumu dhidi yangu: Shukrani kwa watanzania – Maxence Melo

    Pole sana na ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa ujasiri, maana bila ujasiri wako hii jamii forum isingekuwepo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. GWIPYANA

    Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa

    Pale hamna vipimo kuna manyanga ya kupigia lamli mpaka ikubahatishe Sent using Jamii Forums mobile app
  7. GWIPYANA

    Ukweli usemwe, mwaka huu wa 2020 ndiyo mwisho wa CHADEMA kuwa chama kikuu cha Upinzani

    Ni kweli nakubariana na wewe lakini sio kwa uchaguzi ni kwa hila za serikali ya awamu ya tano kwa kutumia tume yao na nguvu ya dola.Kiukweli tume huru tuingie kwenye box la kura pamoja na kuvurugwa na nguvu ya dola kuzuia mikutano na kuwazushia kesi vionngozi wa CHADEMA bado ninaimani ya kua...
  8. GWIPYANA

    Bunge la seneti lamfutia mashtaka Donald Trump, Kura 52-48 kwenye kutumia madaraka vibaya, na 53-47 kwenye mashtaka ya kuingilia Bunge

    Mtoa mada umesema pamoja na kuandika pumba kwenye magazeti na kumsema vibabaya kwenye mitandao ya kijamii lakini Trump bado amelindwa kwa kutoondelewa madarakani. Mfano wako haupo sawa hivi Tanzania hii ya awamu hii unauthubutu wa kumuandika rais vibaya au kumkosoa achana na democrasia ya...
  9. GWIPYANA

    Mtume Mwamposa na jaribu la imani

    Ubarikiwe sana mkuu kwa kweli nimekufuatilia sana unajua kujenga hoja asiyekuelewa huyo ni jeuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. GWIPYANA

    Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

    Zitto ndiye aliyeudanganya umma. Huyu jamaa ni mnafiki tu
  11. GWIPYANA

    Watawala Mlipewa Madaraka ili kujenga Taifa la visasi na mgawanyiko au Kuleta Umoja Maendeleo na haki katika Taifa?

    Nimekupata umeongea kwa uchungu sana.Hapa Tanzania viongozi wetu wamejinengea mazoea wanaona km watanzania kila siku ni wajinga na waoga wakitishwa kidogo wanatulia lakini hii hali tulionayo wamekalia boom.INAUMÄ SANA
  12. GWIPYANA

    Tundu Lissu yupo imara zaidi

    Anakuja kuchukua nafasi ya magu
  13. GWIPYANA

    Ni kama January Makamba amesusiwa kampeni yake ya mifuko ya plastiki..

    Pamoja na kuto kuungwa mkono lakini naona atafanikiwa mwitikio upo kwa wananchi.japo mwanzo mgumu
  14. GWIPYANA

    Kilichotokea Mbeya ni ishara ya makamanda kuchoka kuendelea kuwa watumwa wa Mbowe

    Mimi sijakuewa hata ulichomaanisha Mbowe anaingiaje hapo
Back
Top Bottom